Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Raphael Okoth (Guest) on August 2, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on July 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on July 18, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on July 13, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on July 9, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Grace Majaliwa (Guest) on June 30, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on June 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hekima (Guest) on May 31, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Betty Kimaro (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Mchuma (Guest) on May 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mohamed (Guest) on April 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Grace Majaliwa (Guest) on March 28, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

David Kawawa (Guest) on February 25, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on February 12, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on February 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 17, 2017

Asante Ackyshine

James Kawawa (Guest) on January 3, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Nora Kidata (Guest) on December 21, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Edward Lowassa (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on December 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Andrew Mahiga (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Rubea (Guest) on November 10, 2016

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Farida (Guest) on September 19, 2016

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joseph Njoroge (Guest) on September 18, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Elizabeth Mrope (Guest) on September 17, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Salma (Guest) on August 28, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Hellen Nduta (Guest) on July 12, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 30, 2016

😊🀣πŸ”₯

Ibrahim (Guest) on June 26, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on June 24, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on June 9, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Robert Ndunguru (Guest) on May 6, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Alice Wanjiru (Guest) on April 27, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakia (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Peter Mugendi (Guest) on April 20, 2016

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Carol Nyakio (Guest) on April 16, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Grace Mushi (Guest) on April 4, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Lucy Kimotho (Guest) on March 5, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on January 24, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Kimario (Guest) on December 19, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on December 1, 2015

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Muslima (Guest) on October 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

James Kimani (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on September 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ali (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Akech (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Kawawa (Guest) on June 21, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nancy Komba (Guest) on June 18, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Irene Makena (Guest) on April 28, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Cheki hiki kibabu kulivyowaacha watu hoi wakati mchungaji anafungisha ndoa

Mchungaji Kauliza:Β Yeyote mwenye pingamizi la haki kwa ndoa hii asimame na aje... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More