Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Featured Image

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?
JAMAA: Ndio, kamba lakini kule mwisho kulikuwa kumefungwa ng'ombe
PADRI: Kwa hiyo uliiba ng'ombe?
JAMAA: Kiukweli nilikuwa nina lengo la kuiba kamba, kwa bahati mbaya mwisho kulikuwa na ng'ombe
PADRI: Mi naona mueleze Mungu direct, mi sikuelewi kabisaaa

πŸ™ˆπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜‚πŸ™Š

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Akech (Guest) on February 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Majaliwa (Guest) on January 13, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on January 12, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Zakia (Guest) on December 26, 2016

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on December 18, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Omar (Guest) on November 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on November 15, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nancy Komba (Guest) on November 6, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on September 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on September 16, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Chum (Guest) on September 10, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on September 10, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Ochieng (Guest) on August 23, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Patrick Kidata (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on August 5, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on July 29, 2016

πŸ˜… Bado ninacheka!

Diana Mallya (Guest) on July 18, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on July 7, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on June 28, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on June 21, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Moses Mwita (Guest) on June 4, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on May 28, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Rose Amukowa (Guest) on May 12, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 6, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mhina (Guest) on April 11, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Josephine Nduta (Guest) on April 5, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on March 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Benjamin Masanja (Guest) on March 7, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on February 13, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Robert Okello (Guest) on February 12, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on February 7, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on February 2, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Wairimu (Guest) on January 13, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Edward Chepkoech (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on November 15, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Victor Sokoine (Guest) on November 7, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Halima (Guest) on October 4, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 24, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edward Chepkoech (Guest) on September 8, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on September 4, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Halimah (Guest) on September 1, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on August 10, 2015

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on August 6, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwalimu (Guest) on July 29, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on July 14, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on June 20, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Athumani (Guest) on June 11, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on April 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 8, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Samson Mahiga (Guest) on April 7, 2015

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More