Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Wanjiru (Guest) on July 12, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mzee (Guest) on May 23, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Robert Okello (Guest) on May 14, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 7, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 10, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Faith Kariuki (Guest) on December 18, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on November 4, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shabani (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on October 15, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on September 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 22, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Zakaria (Guest) on August 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on July 26, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Ann Wambui (Guest) on July 24, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 4, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Jane Malecela (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on April 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mashaka (Guest) on March 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Andrew Mahiga (Guest) on February 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 22, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on January 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on December 22, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on December 14, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Makame (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Miriam Mchome (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on October 10, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jabir (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarafina (Guest) on September 6, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on August 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Masika (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fadhila (Guest) on June 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on June 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on May 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 20, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on May 3, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Ochieng (Guest) on April 24, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on April 13, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More