Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alice Wanjiru (Guest) on July 12, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 4, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Carol Nyakio (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Mzee (Guest) on May 23, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Robert Okello (Guest) on May 14, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Josephine (Guest) on March 19, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on March 7, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 10, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Faith Kariuki (Guest) on December 18, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Philip Nyaga (Guest) on November 20, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on November 4, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Shabani (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Kali sana!

Janet Mbithe (Guest) on October 15, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on September 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 22, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Zakaria (Guest) on August 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Patrick Mutua (Guest) on July 26, 2016

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Ann Wambui (Guest) on July 24, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 4, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Jane Malecela (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on April 27, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 8, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Mashaka (Guest) on March 13, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Andrew Mahiga (Guest) on February 29, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on February 22, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 4, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mrema (Guest) on January 7, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on December 22, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Diana Mumbua (Guest) on December 20, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on December 14, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Kenneth Murithi (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Makame (Guest) on October 28, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Miriam Mchome (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on October 10, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jabir (Guest) on September 26, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sarafina (Guest) on September 6, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on August 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Masika (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Fadhila (Guest) on June 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Janet Mbithe (Guest) on June 16, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Catherine Naliaka (Guest) on June 14, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on June 12, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 31, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on May 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 20, 2015

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on May 3, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

David Ochieng (Guest) on April 24, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Sumaye (Guest) on April 13, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Related Posts

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More