Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on September 11, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Wambui (Guest) on August 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on July 17, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on July 6, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on June 6, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Ibrahim (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Zakia (Guest) on April 19, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Amir (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Salima (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faiza (Guest) on February 14, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on February 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Habiba (Guest) on December 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mjaka (Guest) on December 5, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on October 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 23, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on August 15, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on August 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 1, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on May 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on May 15, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sarah Karani (Guest) on February 15, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 31, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kijakazi (Guest) on January 8, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on November 26, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on October 15, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on October 9, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kimario (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 9, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on July 1, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on June 14, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 30, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on April 27, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

Angalia huyu house girl wa mzungu alichokifanya na anachokisema

House girl mmoja alipewa kazi na mzungu mara akavunja sahani.
Mzungu aliporejea,kazin akamuu... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More