Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Staili nyingine za michepuko ni shida

Featured Image

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si akakuta mchepuko wake,
MKE: Unataka nini we mpumbavu?

MUME: Nani huyo unamtukana?
MKE: Kuna mtu hapa anakichwa kama nenda urudi badae
MCHEPUKO:Nawewe pua kama poa
MKE:Miguu kama masaa mawili
MCHEPUKO:Masikio kama sichelewi
MKE: Ondoka hapa mjinga we. …… Akafunga mlango
MUME: mwambie ana macho kama sitoki leo ng'oo
SIPENDI UJINGA MM nikiwa na my love pr

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nora Kidata (Guest) on May 31, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Wande (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Violet Mumo (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

George Ndungu (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rabia (Guest) on April 7, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on March 24, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on March 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on March 13, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kahina (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on February 21, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Safiya (Guest) on February 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 21, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mhina (Guest) on January 21, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on January 9, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mgeni (Guest) on December 28, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Paul Ndomba (Guest) on December 6, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Malisa (Guest) on November 21, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on October 27, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Zulekha (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Irene Akoth (Guest) on September 29, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Francis Njeru (Guest) on September 7, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on September 3, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Saidi (Guest) on August 27, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Mahiga (Guest) on July 19, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Kawawa (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Salima (Guest) on June 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Chris Okello (Guest) on June 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on June 21, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Daudi (Guest) on June 1, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on May 22, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on May 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

George Ndungu (Guest) on March 21, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on February 24, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on February 21, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Francis Mrope (Guest) on February 18, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Athumani (Guest) on January 18, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joseph Kitine (Guest) on January 15, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on January 8, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Patrick Mutua (Guest) on January 3, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Rabia (Guest) on December 11, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on September 6, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Joyce Mussa (Guest) on August 28, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on August 21, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Benjamin Kibicho (Guest) on July 5, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Halimah (Guest) on June 19, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Asha (Guest) on May 12, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on May 5, 2015

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Rashid (Guest) on April 15, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anthony Kariuki (Guest) on April 9, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo