Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Featured Image

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza vidogo hatuna.
Mtafsiri: No sir, they don't have.
Mtalii: OK, fine, do you have hot dogs.
Mtafsiri: Sawa, je mnao mbwa wa moto.
Waiter: Loh! Bwana we, hatupiki mbwa hapa.
Mtafsiri: They don't cook here
Mtalii: What type of snacks do you have here.
Mtafsiri: Aina ngapi ya nyoka mnao hapa,
Waiter: We bwana we hapa hatupiki aina yeyote
ya nyoka, mwache akale nyumbani kwao.
Mtafsiri: They don't cook any type of snacks
here,
maybe you can go back and eat at home.
Mtalii: OK, at least give us a cocktail juice.
Mtafsiri: OK, tupatie hata juisi ya mkia wa jogoo.
Waiter: Hebu tokeni na bangi zenu hapa, tena
sasa hivi kabla sijakasirika.
Mtafsiri: Lets get out of here
πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Usicheke pekeyako

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mohamed (Guest) on November 30, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nora Kidata (Guest) on November 26, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Henry Mollel (Guest) on October 9, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 7, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on September 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on September 4, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Kitine (Guest) on August 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

James Kimani (Guest) on July 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 29, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 22, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on May 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mustafa (Guest) on May 9, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Musyoka (Guest) on March 6, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Kiza (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Andrew Mchome (Guest) on January 22, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Lissu (Guest) on January 19, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 27, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Ahmed (Guest) on December 16, 2016

Asante Ackyshine

Mwanaisha (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Akumu (Guest) on November 16, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Mary Kendi (Guest) on October 22, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Mallya (Guest) on October 21, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on October 18, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Nasra (Guest) on September 29, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 15, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on July 26, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Safiya (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Joseph Kitine (Guest) on June 1, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwakisu (Guest) on May 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Catherine Naliaka (Guest) on March 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

David Chacha (Guest) on March 18, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mustafa (Guest) on February 18, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ramadhan (Guest) on January 27, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on December 30, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rukia (Guest) on December 11, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Simon Kiprono (Guest) on December 2, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Muslima (Guest) on November 25, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on November 2, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Mtangi (Guest) on September 4, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sultan (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

David Sokoine (Guest) on August 30, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 24, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 23, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on July 20, 2015

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Daudi (Guest) on June 30, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Malima (Guest) on June 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on April 28, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Related Posts

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More