Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Malela (Guest) on October 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on September 26, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 14, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Mboya (Guest) on August 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joseph Kawawa (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rubea (Guest) on July 10, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Warda (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kamau (Guest) on April 27, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Robert Ndunguru (Guest) on April 19, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrema (Guest) on April 17, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanahawa (Guest) on April 15, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanajuma (Guest) on March 19, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 11, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nchi (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Janet Sumaye (Guest) on February 21, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on January 21, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

George Ndungu (Guest) on January 16, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Yusra (Guest) on December 27, 2016

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Jebet (Guest) on December 2, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on November 1, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Margaret Anyango (Guest) on October 25, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on August 30, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Francis Njeru (Guest) on August 22, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Rose Waithera (Guest) on August 15, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Rose Waithera (Guest) on July 16, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on July 5, 2016

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rukia (Guest) on June 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

James Mduma (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Janet Sumari (Guest) on June 11, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on June 8, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on April 12, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on April 7, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mary Kendi (Guest) on April 6, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on March 10, 2016

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Wilson Ombati (Guest) on February 21, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Francis Mtangi (Guest) on February 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on January 26, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on December 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on December 17, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on November 18, 2015

Asante Ackyshine

Samson Mahiga (Guest) on October 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Majaliwa (Guest) on October 16, 2015

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Farida (Guest) on September 23, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mahiga (Guest) on August 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on July 30, 2015

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Amukowa (Guest) on July 24, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Kawawa (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on May 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on May 17, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on April 27, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on April 5, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Peter Mbise (Guest) on April 2, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More