Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on February 10, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on January 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on October 28, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Kamau (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Dorothy Nkya (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

George Tenga (Guest) on September 11, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 23, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 31, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ali (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 21, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kevin Maina (Guest) on June 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 9, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on March 13, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Njuguna (Guest) on March 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khatib (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Masika (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 9, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on October 29, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on October 29, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kitine (Guest) on September 11, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 31, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on August 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fatuma (Guest) on August 23, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Raphael Okoth (Guest) on August 22, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on August 1, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on July 30, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Issa (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Onyango (Guest) on June 10, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on May 30, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on May 30, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on May 28, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 19, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on April 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More