Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Kimotho (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Zakaria (Guest) on October 5, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on September 30, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Nasra (Guest) on September 18, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Kahina (Guest) on August 24, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Michael Onyango (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Daudi (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Mwanaidha (Guest) on July 4, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Samuel Omondi (Guest) on July 4, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on June 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lucy Mushi (Guest) on June 9, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on May 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on May 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 15, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on April 1, 2019

🀣πŸ”₯😊

Miriam Mchome (Guest) on March 20, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on February 26, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Jane Muthui (Guest) on January 24, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on January 14, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on January 6, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Komba (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Husna (Guest) on November 10, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Rabia (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Mrema (Guest) on September 16, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Rose Lowassa (Guest) on September 10, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Malisa (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

George Tenga (Guest) on August 5, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 16, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on June 14, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on May 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mwajabu (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mjaka (Guest) on May 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on March 22, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Rose Mwinuka (Guest) on March 22, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on March 9, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Andrew Mahiga (Guest) on March 5, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maneno (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Ann Awino (Guest) on February 18, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nancy Kawawa (Guest) on February 5, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 4, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on January 5, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on December 2, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Carol Nyakio (Guest) on November 29, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Hassan (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nora Kidata (Guest) on October 22, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Robert Okello (Guest) on September 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on September 19, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Lissu (Guest) on September 14, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Wilson Ombati (Guest) on September 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mahiga (Guest) on August 11, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on July 27, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on July 23, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Emily Chepngeno (Guest) on July 4, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Arifa (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Komba (Guest) on June 25, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on June 20, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Related Posts

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Cheki kilichotokea baada ya kufumaniwa

Nimefumaniwa hapa na jamaa ameniambia nitulie tuyamalize kishikaji, yaani nisijali sasa ... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More