Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Safari ni safari

Featured Image

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maisha ni mazuri na mwingine ni mabaya, katika maisha yetu tumeshapitia safari nyingi sana na za aina mbalimbali kwa nyakati mbalimbali. Lakin kiukweli kila safari ni safari tuu.

Japokua kila safari ina changamoto zake lakini mwisho wake ni ule ule , kila safari ina uzuri na upekee wake.

Vile vile kila safari ina ubaya wake, kwa mfano kila safari ina gharama yake kulingana na upekee wake.

Usiwe na wasiwasi na mashaka na aina ya safari ulionayo, jipe moyo utaimaliza na kupata ulichokitarajia. Haya ndio maisha na wote tunatakiwa tuyafurahie.

Ingawa kila mtu ana safari yake bado wote tunatakiwa tufurahie pamoja kwa safari tuliyo nayo. Hata Uwe Na safar ya aina gani wewe furahi tuu. Hii ni kwa sababu safari mwisho wake ni mmoja kwa wote burudani ni ile ile

Safari🍺 ni safari 🍺hata kama ni ya chupa au ya kopo mwisho wake πŸ’€πŸ’€

πŸ˜‹πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Ulijua ni nn??

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Kikwete (Guest) on August 4, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

George Mallya (Guest) on August 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on July 26, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Fadhila (Guest) on May 25, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Stephen Amollo (Guest) on May 21, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Sumaye (Guest) on May 6, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on May 4, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 14, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Josephine Nduta (Guest) on March 29, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Diana Mallya (Guest) on March 27, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 26, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Majid (Guest) on March 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 9, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

John Malisa (Guest) on January 31, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mhina (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rabia (Guest) on December 30, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on November 20, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on November 18, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mchawi (Guest) on November 17, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Khadija (Guest) on October 12, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Mchawi (Guest) on September 25, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Akinyi (Guest) on September 23, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kijakazi (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Jabir (Guest) on September 11, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Richard Mulwa (Guest) on July 4, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on June 28, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on June 18, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Kamau (Guest) on June 16, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Makame (Guest) on May 23, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Alice Wanjiru (Guest) on May 19, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Anna Malela (Guest) on May 18, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on May 13, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 10, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 4, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Salima (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Musyoka (Guest) on March 19, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on March 8, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Waithera (Guest) on March 5, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on February 15, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Khamis (Guest) on February 11, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Salma (Guest) on January 28, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on January 14, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Mwikali (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on November 26, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

George Mallya (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Mwanakhamis (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Esther Nyambura (Guest) on November 13, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Joseph Mallya (Guest) on November 4, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Ruth Kibona (Guest) on October 17, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on October 4, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

James Kimani (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Kazija (Guest) on August 21, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Umi (Guest) on August 12, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 9, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on July 25, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Shani (Guest) on July 5, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Related Posts

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More