Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Featured Image

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia Mlangoni kwangu ndio wanacheza hapo. Kila nikitoka wananisalimia. Mama yao ndio kanimaliza kabisa nimetoka akaniambia

"Kumbe wewe ni Mpishi mzuri, Hongera"

Imebidi nisirudi nyumbani maana wale watoto wanaweza kuingia ndani kabisa na pilau hakuna.

#UTOTO RAHA πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kevin Maina (Guest) on October 5, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Mwanakhamis (Guest) on September 14, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on September 12, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on August 7, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on August 2, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Khalifa (Guest) on July 12, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on July 10, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Arifa (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on June 4, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Chris Okello (Guest) on May 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 1, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on April 16, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanaidi (Guest) on February 19, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on January 29, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Kimario (Guest) on January 1, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Henry Mollel (Guest) on December 18, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on November 1, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Njeri (Guest) on October 4, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Bernard Oduor (Guest) on August 30, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Elijah Mutua (Guest) on June 24, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on May 27, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on May 25, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on May 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Charles Mchome (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on March 22, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Irene Makena (Guest) on March 4, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on March 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Issack (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Kazija (Guest) on February 27, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 15, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mwanakhamis (Guest) on December 30, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mary Kendi (Guest) on December 2, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on November 30, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on November 29, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Daudi (Guest) on November 22, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mary Kendi (Guest) on October 26, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Hassan (Guest) on September 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Daniel Obura (Guest) on September 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on September 21, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Lydia Mahiga (Guest) on August 19, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mary Kendi (Guest) on August 15, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Carol Nyakio (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Tambwe (Guest) on August 7, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Zubeida (Guest) on July 28, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Daniel Obura (Guest) on July 26, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on July 24, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mashaka (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mercy Atieno (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Janet Sumari (Guest) on May 18, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Khalifa (Guest) on April 26, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Mwinuka (Guest) on March 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on March 25, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More