Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Featured Image

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule

3:Kama unajua kuliko mimi njoo ufundishe wewe

4:Ulikuja peke yako na utaondoka peke yako

5:Hata msiponisikiliza mshahara wangu uko pale pale

6:Baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu

7:Hata nikeshe nafundisha wengine ni mizigo hawatoki na lolote

8:Tunavisaidia tu kwan vikifanikiwa mbelen hata salam vinatoa?

9:Bichwa kubwa ubongo nukta

10:Wengine hapa wamekuja kukua tu

SHARE NA MARAFIKI ZAKO WAKUMBUKE ENZI ZA SHULE KIDOGO

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwagonda (Guest) on January 25, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Bakari (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Samuel Omondi (Guest) on January 15, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Simon Kiprono (Guest) on January 6, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on December 1, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on November 28, 2019

Asante Ackyshine

Christopher Oloo (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on September 29, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Chris Okello (Guest) on September 19, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 12, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Josephine Nduta (Guest) on September 11, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Khadija (Guest) on August 29, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Betty Akinyi (Guest) on August 23, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on August 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mwanaidi (Guest) on June 27, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on June 24, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on June 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Moses Mwita (Guest) on June 5, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Mrope (Guest) on May 27, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Kheri (Guest) on May 4, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Kidata (Guest) on March 27, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on February 25, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on February 14, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rahma (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on February 7, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

John Malisa (Guest) on January 9, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on January 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Maneno (Guest) on December 8, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Masika (Guest) on November 11, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on September 18, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Irene Akoth (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Omari (Guest) on August 27, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Zubeida (Guest) on August 14, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Rose Waithera (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Kenneth Murithi (Guest) on July 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on July 8, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 28, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 15, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Yusra (Guest) on June 4, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Athumani (Guest) on May 31, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Jafari (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Nasra (Guest) on May 16, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Mollel (Guest) on April 30, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

John Mushi (Guest) on March 23, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 24, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Sokoine (Guest) on February 23, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Josephine Nekesa (Guest) on February 10, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mhina (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Yusra (Guest) on January 2, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Jane Malecela (Guest) on January 2, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on December 14, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwagonda (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Aziza (Guest) on November 22, 2017

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on October 30, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

James Malima (Guest) on September 30, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mushi (Guest) on July 25, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Cheki kilichonipata sasa, ungekua wewe ungefanyaje?

Siku moja ... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More