Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on May 29, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Mahiga (Guest) on May 29, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on May 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Anna Malela (Guest) on May 22, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Shamsa (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Nora Kidata (Guest) on April 15, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 4, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on March 20, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on February 17, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on February 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Moses Mwita (Guest) on February 13, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on January 14, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on January 13, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on December 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on November 23, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lydia Wanyama (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Mbithe (Guest) on October 20, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Njuguna (Guest) on October 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwafirika (Guest) on October 9, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

James Kawawa (Guest) on October 5, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on October 1, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Elizabeth Malima (Guest) on September 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on August 26, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 13, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Yusuf (Guest) on July 10, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mariam Hassan (Guest) on July 8, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

Vincent Mwangangi (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on May 29, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Omar (Guest) on May 20, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on May 17, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rehema (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ann Wambui (Guest) on February 19, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Josephine (Guest) on February 3, 2019

Asante Ackyshine

Margaret Anyango (Guest) on February 1, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on January 9, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Mwafirika (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 9, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on October 25, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Daniel Obura (Guest) on October 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kahina (Guest) on October 14, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nora Lowassa (Guest) on October 11, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on October 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on October 2, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Diana Mumbua (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on August 28, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Elizabeth Mrope (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mchome (Guest) on June 11, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Issack (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

David Chacha (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Kazija (Guest) on April 15, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Charles Mrope (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Zakia (Guest) on April 3, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Robert Okello (Guest) on February 25, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on January 18, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Anna Malela (Guest) on December 1, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More