Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Featured Image

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili boss asigundue. Mara kadhaa boss alihisi ladha tofauti anapokunywa wine hivyo kuhisi kuna mchezo mchafu alihisi tu Bakari anahusika. Ilikua ni bahati tu alimvizia na kumbamba Bakari akichakachua wine, kwa kuwa mkewe alikua anamtetea Bakari, ili kumthibitishia mkewe kuwa Bakari ndo culprit,
boss alianza kwa kumuuliza Bakari maswali. Siku hiyo Bakari alikua jikoni,boss na mkewe walikua sebuleni.

Boss:- Bakariiii!
Bakari:- Naam baba!
Boss:- Nani anakunywa wine yangu?

Bakari:- Kimyaaaa hajibu kitu! Boss:- Bakariiiii !
Bakari:- naam baba! Boss:- nauliza nani anakunywa wine yangu halafu anajazia majiii!
Bakari:- kimyaaaaa!

Boss akaamua amfuate hukohuko jikoni.
Boss: Kwanini nikikuita unaitikia, nikikuuliza unanyamaza?
Bakari: Baba huku jikoni ndo kulivyo, unasikia jina tu likiitwa lakini maneno menginehusikii, na kama huamini baki jikoni mi niende sebuleni.

Bakari akaenda sebuleni akaanza kuita.
Bakari:Babaa!
Boss: Naam Bakari!
Bakari: Saa sita usiku huwa unaenda kufanya nini chumba cha house girl?
Boss:- kimyaaaa!
Bakari:- Baba babaa!
Boss:- Ndio Bakari!
Bakari:- Nauliza hivii, chumbani kwa house girl saa sita za usiku huwa wafuata nini?
Boss:- kimyaaaaaaa!

Boss akatoka nje: Bakari huku jikoni ni kweli husikii kitu zaidi ya jina!.
Mama akasema msinizingue nyie…Mbona siwaelewi..
Bakar: mama kama uamini na ww nenda uone.

Mama akaenda jikoni..
Bakari: akaita mamaa
Mama : bee bakari
Bakari: eti hiyo mimba niya baba au yangu.?
Mama kimya
Bakari; mama nakauliza tena hiyo mimba niyababa au yangu.

Mama akatoka aisee kweli humu unasikia jina tu…..πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shamim (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Sharon Kibiru (Guest) on June 17, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

James Mduma (Guest) on June 4, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mchawi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Paul Kamau (Guest) on May 30, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Moses Mwita (Guest) on April 28, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hekima (Guest) on April 8, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Stephen Kangethe (Guest) on March 26, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mtangi (Guest) on March 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Lucy Wangui (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Adhiambo (Guest) on January 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on January 30, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Baraka (Guest) on January 20, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khamis (Guest) on January 13, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Kimario (Guest) on December 18, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Joseph Mallya (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Kheri (Guest) on September 22, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on July 20, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Mwikali (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwanaisha (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Elizabeth Malima (Guest) on June 16, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Agnes Sumaye (Guest) on June 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on June 5, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Muslima (Guest) on June 4, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Maulid (Guest) on May 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Akinyi (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 4, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwanajuma (Guest) on April 4, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mercy Atieno (Guest) on March 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on February 7, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on January 15, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on December 2, 2017

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on November 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on November 21, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Benjamin Kibicho (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hashim (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Otieno (Guest) on September 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on September 20, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Wanjala (Guest) on September 16, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Rose Mwinuka (Guest) on August 30, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Monica Nyalandu (Guest) on August 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on July 13, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kheri (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Sharon Kibiru (Guest) on July 10, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on July 8, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on July 6, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 1, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Khamis (Guest) on June 30, 2017

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edith Cherotich (Guest) on May 28, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Wanaume wote ni waaminifu

Wanaume wote ni waaminifu

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Read More
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Angalia haya maswali ya huyu mtoto yalivyomagumu, ndio maana wazee wetu walikua wanatudanganya

Mtoto: Mama, hivi kabla hujanizaa uliniona!?