Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Samson Tibaijuka (Guest) on October 11, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on August 15, 2019

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜„

Francis Njeru (Guest) on July 29, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! ๐Ÿ˜„

Zakaria (Guest) on July 18, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaโ€”imebamba! ๐Ÿคฃ

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2019

Nimeipenda hii joke! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Charles Wafula (Guest) on July 9, 2019

Hii imenikuna sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Michael Mboya (Guest) on July 5, 2019

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Peter Mwambui (Guest) on April 10, 2019

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Stephen Mushi (Guest) on April 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on March 23, 2019

Hii ni ya kufurahisha! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

Bernard Oduor (Guest) on March 21, 2019

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Peter Otieno (Guest) on February 28, 2019

๐Ÿ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Faith Kariuki (Guest) on February 19, 2019

๐Ÿ˜‚ Kali sana!

Sarah Achieng (Guest) on February 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Esther Nyambura (Guest) on February 15, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

George Tenga (Guest) on January 8, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Khadija (Guest) on December 30, 2018

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Mboya (Guest) on December 23, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! โ˜•๐Ÿ˜†

Nancy Akumu (Guest) on December 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Wande (Guest) on November 27, 2018

๐Ÿคฃ Kichekesho bora kabisa!

Ali (Guest) on November 16, 2018

๐Ÿ˜† Ninakufa hapa!

Josephine Nekesa (Guest) on November 16, 2018

๐Ÿคฃ Ninashiriki hii sasa hivi!

Joy Wacera (Guest) on November 11, 2018

๐Ÿ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 1, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜„

Victor Kimario (Guest) on October 25, 2018

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ‘

Maulid (Guest) on October 14, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! ๐Ÿคฃ

Hekima (Guest) on September 23, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! ๐Ÿ˜

Alice Jebet (Guest) on September 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! ๐ŸŽฏ

Nora Lowassa (Guest) on September 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

John Lissu (Guest) on August 28, 2018

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on August 19, 2018

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Mariam Kawawa (Guest) on August 4, 2018

๐Ÿ˜† Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on July 6, 2018

๐Ÿ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Halimah (Guest) on June 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! ๐Ÿ˜

Chris Okello (Guest) on June 1, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

George Wanjala (Guest) on May 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

George Ndungu (Guest) on May 6, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 5, 2018

Hii ni bomba sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘

Lucy Mushi (Guest) on May 2, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! ๐Ÿ†

Muslima (Guest) on April 27, 2018

๐Ÿ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Elizabeth Malima (Guest) on April 26, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Josephine Nduta (Guest) on April 20, 2018

๐Ÿคฃ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Sarafina (Guest) on March 13, 2018

๐Ÿ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Violet Mumo (Guest) on March 12, 2018

๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on February 28, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineโ€”kichekesho! ๐Ÿคฃ

Josephine Nduta (Guest) on February 24, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! ๐Ÿคฃ

Edward Chepkoech (Guest) on February 8, 2018

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Moses Mwita (Guest) on January 31, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Agnes Sumaye (Guest) on January 12, 2018

Nimecheka hadi machozi ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Samuel Omondi (Guest) on January 2, 2018

Ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘

Moses Kipkemboi (Guest) on January 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜…

David Musyoka (Guest) on January 1, 2018

๐Ÿ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on December 22, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! ๐Ÿ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on December 12, 2017

๐Ÿคฃ Ninaituma sasa hivi!

Mariam (Guest) on December 9, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 30, 2017

Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Peter Otieno (Guest) on November 12, 2017

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Janet Mbithe (Guest) on October 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Violet Mumo (Guest) on August 24, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Related Posts

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisaโ€ฆ. ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„๐Ÿ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuri๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡๐Ÿ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.