Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Featured Image

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo maarufu
ya kwenye daladala.

1.Yatima hadeki
2.Utamu wa chips mimba
3.Ukitaka kujua ugumu wa kudai kopesha ukweni
4. Usiyempenda kaja
5. Kobe hapimwi joto
6. Acha kazi uone kaz kupata kaz
7. Ukichezea koki utalowa
8. Heshima pesa kipara kovu tu!
9. Mtumbwi hauna saitmira.
9. Silaha pesa bastola mzigo
10. Hata uoge mjini huendi
11. Chezea mshahara usichezee kazi.
12. Ukiona manyoya ujue kishaliwa
13. Ikisimama Panda
14. Pombe pombe tuu kunywea bar mbwebwe
15. Njia ya chooni haioti nyasi
16. Likizo ya maskini ugonjwa
17. When i grow up i want to be a scania
18. Hata bibi alikuwa binti
19. Kisigino hakikai mbele
20. Kama mapenz pesa kaolewe na benki
21. Hata barabara ina matuta lakin huwez panda viazi
22. Mavi hayana miba lakin ukikanyaga lazma uchechemee
23. Paka haishi kwa msela
24. Ukipendwa ujue kuna boya kaachwa
25. NIPO NIPO KWANZA
26. Mchana nzi ucku mbu
27. Ucmshangae funza kukata viuno ndio mwendo wake
28. Kama umelipenda(gari) bonyeza nyota liwe lako
29. Supermarket hawauzi mkaa
30. We nisubiri mi nakungoja.
31. Zetu dagaa kuku tamaa
32. Hata uwe na heshima vipi huwezi kumpokea askari bunduki
H
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜œπŸ˜œπŸ˜œπŸ˜πŸ˜πŸ˜

Share na wenzako kuongeza siku za kuishi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Kimaro (Guest) on November 14, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jafari (Guest) on October 11, 2019

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nancy Akumu (Guest) on September 21, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwanaidha (Guest) on September 10, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Esther Nyambura (Guest) on September 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 11, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Henry Mollel (Guest) on July 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ruth Mtangi (Guest) on May 24, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on May 3, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 20, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Kheri (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Mwanaidi (Guest) on February 21, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Hekima (Guest) on February 2, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Agnes Lowassa (Guest) on February 2, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on January 20, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Fikiri (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Lowassa (Guest) on December 14, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Violet Mumo (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on December 9, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on November 30, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sharon Kibiru (Guest) on November 23, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Andrew Mchome (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jane Muthui (Guest) on October 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

David Chacha (Guest) on September 30, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on September 23, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Lucy Mahiga (Guest) on September 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nahida (Guest) on September 1, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 20, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Cheruiyot (Guest) on August 17, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mchuma (Guest) on August 15, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on July 2, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Abdullah (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on April 26, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on April 21, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joyce Mussa (Guest) on April 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joyce Nkya (Guest) on April 4, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Komba (Guest) on March 31, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on March 27, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shabani (Guest) on February 26, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Peter Mwambui (Guest) on February 19, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 10, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Awino (Guest) on December 26, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on December 6, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on December 4, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on November 7, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on October 26, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zubeida (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Hellen Nduta (Guest) on October 11, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on October 8, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on September 26, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on September 1, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on August 13, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Related Posts

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More