Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Mbithe (Guest) on May 18, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Wilson Ombati (Guest) on March 13, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on February 20, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mariam Kawawa (Guest) on January 4, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Joseph Kiwanga (Guest) on December 17, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Martin Otieno (Guest) on December 5, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on October 20, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on September 6, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Omar (Guest) on August 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on August 13, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Peter Mwambui (Guest) on July 11, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline!

Rose Lowassa (Guest) on June 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 22, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Fikiri (Guest) on June 18, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on June 10, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 16, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mary Kendi (Guest) on January 27, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Kevin Maina (Guest) on January 17, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 10, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Francis Mtangi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on December 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on November 18, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

John Lissu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jabir (Guest) on September 25, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Ruth Wanjiku (Guest) on September 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Janet Mbithe (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Emily Chepngeno (Guest) on August 9, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Grace Mligo (Guest) on August 6, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Monica Lissu (Guest) on August 5, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Akumu (Guest) on August 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on July 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Halimah (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nyota (Guest) on May 18, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on May 5, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Akech (Guest) on April 27, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on April 20, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Maida (Guest) on April 20, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 17, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on April 13, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 15, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on February 13, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mwanakhamis (Guest) on February 7, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anthony Kariuki (Guest) on January 19, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 8, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Njuguna (Guest) on January 2, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Yahya (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

Patrick Kidata (Guest) on November 28, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Tabitha Okumu (Guest) on November 8, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on November 5, 2017

Asante Ackyshine

Lydia Mahiga (Guest) on November 5, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on October 23, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Binti (Guest) on September 1, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jaffar (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Lowassa (Guest) on August 30, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Related Posts

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More