Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Sumaye (Guest) on April 12, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mazrui (Guest) on April 10, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ann Wambui (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Frank Macha (Guest) on March 24, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jacob Kiplangat (Guest) on February 24, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Nyambura (Guest) on February 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Betty Kimaro (Guest) on January 12, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on January 9, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 19, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Jane Malecela (Guest) on October 29, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Lucy Wangui (Guest) on October 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

James Malima (Guest) on October 4, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 28, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on September 17, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Sokoine (Guest) on August 31, 2019

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 20, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Nuru (Guest) on August 10, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 31, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 17, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Rashid (Guest) on March 25, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Grace Minja (Guest) on March 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khadija (Guest) on March 1, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on February 9, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Elizabeth Malima (Guest) on February 2, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Carol Nyakio (Guest) on January 22, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 7, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on January 5, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Abdillah (Guest) on December 18, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Ndoto (Guest) on October 23, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

James Malima (Guest) on October 14, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 10, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on September 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on August 27, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Margaret Mahiga (Guest) on August 16, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on August 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on August 4, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on July 11, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Emily Chepngeno (Guest) on July 1, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mchome (Guest) on July 1, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Kendi (Guest) on June 14, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on June 13, 2018

Asante Ackyshine

Catherine Naliaka (Guest) on June 6, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Anna Kibwana (Guest) on March 31, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Benjamin Masanja (Guest) on March 27, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Zulekha (Guest) on February 15, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on February 9, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 27, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Juma (Guest) on January 4, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on December 25, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on December 24, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Shukuru (Guest) on December 7, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on November 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 9, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Anthony Kariuki (Guest) on November 1, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on October 9, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Njoroge (Guest) on September 16, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More