Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Featured Image
Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station

"Naitwa John nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki 7, ATM Card na kikaratasi chenye PIN ya ATM Card na kijimkufu cha dhahabu kinene hivi…"

Mtangazaji akasema:- Akhasante sana John, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama ana kusikiliza akutafute kwa No. Gani!?

John: Hapana, mi nilikuwa namshukuru tu maana amenitoa kwenye matatizo na ninapenda kumuombea Dedication wimbo wa Snura "MAJANGA" umfikie popote pale alipo…!!!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Daniel Obura (Guest) on June 6, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Salum (Guest) on June 2, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jane Muthoni (Guest) on May 27, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

James Kimani (Guest) on May 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Baraka (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Maneno (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mchuma (Guest) on February 18, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Margaret Mahiga (Guest) on February 12, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Shani (Guest) on January 28, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Moses Kipkemboi (Guest) on January 21, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on December 27, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on December 6, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Chris Okello (Guest) on November 7, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam (Guest) on July 25, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on July 17, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on July 2, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Paul Kamau (Guest) on June 27, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Wanjala (Guest) on June 16, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Rose Lowassa (Guest) on May 13, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Kiwanga (Guest) on April 29, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on April 29, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Tabu (Guest) on April 17, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Paul Kamau (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Janet Sumari (Guest) on April 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on April 7, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on March 28, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on March 2, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on February 19, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Emily Chepngeno (Guest) on February 19, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on February 16, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Janet Sumaye (Guest) on January 20, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Farida (Guest) on January 3, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Sharon Kibiru (Guest) on December 29, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on December 27, 2017

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Frank Sokoine (Guest) on December 13, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

David Nyerere (Guest) on November 26, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on November 21, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on November 16, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on November 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on October 21, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Wambura (Guest) on October 19, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on October 15, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Grace Majaliwa (Guest) on October 14, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mariam Kawawa (Guest) on October 9, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Ann Awino (Guest) on October 4, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on September 22, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on August 29, 2017

Asante Ackyshine

Bahati (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on August 6, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on August 3, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 28, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on July 2, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Omar (Guest) on June 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shabani (Guest) on May 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More