Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Linda Karimi (Guest) on March 7, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on February 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 18, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on January 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Joseph Kiwanga (Guest) on December 31, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jacob Kiplangat (Guest) on October 17, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 16, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Margaret Mahiga (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Maneno (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on August 4, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 1, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Kijakazi (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜† Bado nacheka!

David Kawawa (Guest) on July 13, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 23, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Hellen Nduta (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on June 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on June 3, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Neema (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mchawi (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Wangui (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Joy Wacera (Guest) on March 12, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Mary Kendi (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on February 13, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on January 31, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on January 18, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Susan Wangari (Guest) on January 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 7, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on November 20, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on November 18, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Michael Mboya (Guest) on November 16, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raha (Guest) on November 5, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Anthony Kariuki (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mary Njeri (Guest) on September 14, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Kenneth Murithi (Guest) on August 31, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 30, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Philip Nyaga (Guest) on August 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Ochieng (Guest) on August 2, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on July 8, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zubeida (Guest) on July 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Baraka (Guest) on June 26, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Lydia Wanyama (Guest) on June 20, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on June 11, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 21, 2018

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Patrick Kidata (Guest) on May 3, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on March 28, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Monica Adhiambo (Guest) on March 19, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on March 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Mwajabu (Guest) on February 13, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Mahiga (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

John Mwangi (Guest) on January 14, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Majaliwa (Guest) on December 26, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on December 17, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edith Cherotich (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More