Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Ndunguru (Guest) on December 2, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwafirika (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on October 2, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on October 2, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

John Mushi (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on August 7, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on August 6, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on July 26, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on July 15, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Nuru (Guest) on June 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 18, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on May 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on May 3, 2019

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on March 2, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Patrick Kidata (Guest) on February 23, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Biashara (Guest) on February 20, 2019

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Janet Sumari (Guest) on February 18, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 3, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mohamed (Guest) on January 29, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Kenneth Murithi (Guest) on January 20, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Tabu (Guest) on January 18, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Bahati (Guest) on January 18, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Francis Njeru (Guest) on December 3, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on December 1, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Maulid (Guest) on November 4, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joyce Nkya (Guest) on September 27, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on September 11, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kiwanga (Guest) on September 10, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on July 27, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on July 5, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Charles Wafula (Guest) on June 23, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rose Kiwanga (Guest) on June 5, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Sumaya (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

David Sokoine (Guest) on April 23, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 12, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on January 27, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on November 14, 2017

🀣πŸ”₯😊

Moses Mwita (Guest) on November 6, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Anna Sumari (Guest) on October 27, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Tabitha Okumu (Guest) on October 24, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Juma (Guest) on September 30, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Anyango (Guest) on September 27, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Jebet (Guest) on September 24, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on August 21, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on August 1, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rose Waithera (Guest) on July 27, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Edward Chepkoech (Guest) on June 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on June 12, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on June 2, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Hawa (Guest) on May 19, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Kheri (Guest) on May 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanaidha (Guest) on April 27, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on April 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Related Posts

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada lenu hili. Mimi sipo

Wadada kama una sura mbaya subiri NEEMA YA BWANA..Sio kutuambia mna uzuri wa Ndani usioonekana..... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More