Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Featured Image

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti kwa njia ya simu juu ya walichokikuta
ASKARI: Mkuu tumekuta mama mwenye nyumba kampiga mumewe chuma cha kichwa na kumuumiza vibaya sanaa





AFANDE: Kha! kisa mkasa mpk akafanya hivyo
ASKARI: Mama mwenye nyumba alikua anapiga deki mumewe akaingia ndani viatu kabla sakafu haijakauka
AFANDE: Sasa mmesha mkamata huyo mwanamke
ASKARI: Bado mkuu
AFANDE: Kha! sasa mnangoja nini
ASKARI: Si tunangoja sakafu ikauke


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lucy Mushi (Guest) on January 17, 2020

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 19, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Karani (Guest) on November 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hashim (Guest) on November 1, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Andrew Mahiga (Guest) on October 25, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on September 29, 2019

🀣πŸ”₯😊

Stephen Kangethe (Guest) on September 26, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on September 14, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 26, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kimani (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samuel Omondi (Guest) on July 8, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Charles Mchome (Guest) on June 26, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on June 18, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Shani (Guest) on May 13, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwanakhamis (Guest) on May 7, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Rashid (Guest) on April 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mwagonda (Guest) on March 1, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on February 14, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Tenga (Guest) on January 28, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on January 5, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Abdullah (Guest) on December 11, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Athumani (Guest) on December 5, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Azima (Guest) on November 22, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Malima (Guest) on October 11, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Richard Mulwa (Guest) on October 6, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Kenneth Murithi (Guest) on September 17, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Tabitha Okumu (Guest) on September 11, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Sumari (Guest) on September 5, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Kimaro (Guest) on August 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Aziza (Guest) on August 12, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Betty Kimaro (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on July 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on July 4, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Monica Nyalandu (Guest) on July 1, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Kangethe (Guest) on May 30, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on May 5, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Bakari (Guest) on May 3, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on May 2, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 26, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on April 10, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

James Malima (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Violet Mumo (Guest) on March 14, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Makame (Guest) on March 9, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Zawadi (Guest) on February 28, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Linda Karimi (Guest) on February 16, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mushi (Guest) on January 29, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on January 7, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on November 29, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Asha (Guest) on September 22, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Kevin Maina (Guest) on September 21, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Elizabeth Mtei (Guest) on August 10, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

David Chacha (Guest) on August 8, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Related Posts

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

Angalia huyu mke wa mtu anavyojichanganya hadi kwa mme wake

MUME: "Mke wangu nasikia John katembea na wake za watu wooote hapa mtaani kasoro mmoja tu!"

Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Simu ilivyozua utata

Simu ilivyozua utata

Mama alichukuwa simu akampa mwanawe. Mama..Mpigie babako mwambie chakula tayari. (Mtoto akachukuw... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More