Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mzee (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rubea (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 6, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joyce Nkya (Guest) on June 25, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on May 23, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on May 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on April 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 3, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on March 14, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 4, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on December 18, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on November 29, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on October 2, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on September 17, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on August 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on June 28, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 11, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on June 8, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Carol Nyakio (Guest) on June 7, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on May 19, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khamis (Guest) on May 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on April 21, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Azima (Guest) on March 3, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Umi (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on January 3, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joyce Aoko (Guest) on December 27, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Susan Wangari (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kimario (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Malela (Guest) on October 5, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on October 5, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on September 21, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 21, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 23, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 20, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on June 14, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on April 24, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shamim (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Emily Chepngeno (Guest) on March 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More