Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mzee (Guest) on November 9, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rubea (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 6, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joyce Nkya (Guest) on June 25, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on June 23, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Joseph Njoroge (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on May 23, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on May 9, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on April 26, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 3, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on March 14, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Victor Malima (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Catherine Mkumbo (Guest) on February 4, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Tabitha Okumu (Guest) on December 18, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

David Sokoine (Guest) on November 29, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Lowassa (Guest) on November 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Kenneth Murithi (Guest) on October 2, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sarah Achieng (Guest) on September 17, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on August 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Kawawa (Guest) on July 19, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on June 28, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 11, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on June 8, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Carol Nyakio (Guest) on June 7, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on May 31, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Malela (Guest) on May 19, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khamis (Guest) on May 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on April 21, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on March 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on March 20, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Azima (Guest) on March 3, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 18, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Michael Onyango (Guest) on January 14, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Umi (Guest) on January 12, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

John Kamande (Guest) on January 3, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Joyce Aoko (Guest) on December 27, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on December 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on November 27, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Susan Wangari (Guest) on November 26, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kimario (Guest) on November 24, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on October 18, 2017

🀣πŸ”₯😊

Anna Malela (Guest) on October 5, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Minja (Guest) on October 5, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on September 21, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 21, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on September 16, 2017

πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on July 23, 2017

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on June 20, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on June 14, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on May 16, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mumbua (Guest) on April 24, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kiwanga (Guest) on April 23, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Shamim (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Emily Chepngeno (Guest) on March 22, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More