Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Featured Image

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ya Jadi…

Jamaa akaongea na bibi yake amuwekee jinsia ya kike ili akashinde Mahakamani na akitoka arudishiwe mambo yake kama kawaida.

Bibi akampachika jamaa jinsia ya kike alipofika mahakamani kuhojiwa akasema mi sijampa ujauzito kwasababu minina jinsia ya kike pia…!
Kwa kuthibitisha akajifunua nguo, basi jamaa akashinda kesi.

Jamaa akawa anarudi Home, lakini wakati anakaribia kufika akaona watu wengi wamejaa home wanalia akauliza kulikoni akaambiwa "Bibi amefariki"!

Vuta picha hapo…!!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mrema (Guest) on May 28, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on May 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on May 15, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rehema (Guest) on March 26, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Daudi (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

James Kimani (Guest) on February 23, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

George Mallya (Guest) on January 9, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on January 4, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Warda (Guest) on December 8, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Hamida (Guest) on November 6, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Frank Macha (Guest) on October 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on September 27, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Shabani (Guest) on September 18, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on September 8, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nahida (Guest) on August 5, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 29, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on July 26, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Lucy Mushi (Guest) on June 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mary Njeri (Guest) on June 24, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 18, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Zubeida (Guest) on June 12, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Mariam Kawawa (Guest) on May 4, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Ndungu (Guest) on April 28, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shani (Guest) on March 23, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on March 13, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Stephen Malecela (Guest) on February 19, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on February 6, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on January 23, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on January 8, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Edward Lowassa (Guest) on January 4, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on December 30, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on December 11, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on December 7, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 30, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on November 25, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Mahiga (Guest) on November 15, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on November 2, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Grace Majaliwa (Guest) on October 28, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on October 18, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chris Okello (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Dorothy Nkya (Guest) on July 30, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on July 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Baraka (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on June 26, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Betty Kimaro (Guest) on June 22, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

John Mwangi (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joyce Aoko (Guest) on June 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on June 5, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Fadhili (Guest) on May 30, 2017

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Irene Akoth (Guest) on May 29, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on May 24, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mjaka (Guest) on April 16, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Benjamin Kibicho (Guest) on April 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Mary Kendi (Guest) on April 13, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2017

🀣πŸ”₯😊

Related Posts

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Madhara ya kwenda baa na mke ndo kama haya

Jamaa alienda Bar na mke wake wa ndoa wakakaa kwenye viti, wakati wanasubiri vinywaji akapita bin... Read More

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More