Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.





2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.





3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?





4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.





5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.





6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.





7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.





8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.





9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.





10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zakaria (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samuel Were (Guest) on October 28, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Wanjala (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on May 7, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Christopher Oloo (Guest) on March 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Wande (Guest) on February 16, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Amani (Guest) on February 1, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Wairimu (Guest) on January 23, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Nashon (Guest) on January 21, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Sarah Mbise (Guest) on January 1, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on November 21, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Anna Sumari (Guest) on August 29, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on August 27, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 14, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Kendi (Guest) on August 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Njuguna (Guest) on July 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Jacob Kiplangat (Guest) on July 28, 2018

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on July 14, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on July 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Anna Sumari (Guest) on July 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Maida (Guest) on June 14, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mercy Atieno (Guest) on May 31, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam (Guest) on May 23, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rehema (Guest) on May 14, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Mutheu (Guest) on March 27, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on March 11, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on February 8, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sekela (Guest) on January 29, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

George Wanjala (Guest) on December 29, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on December 5, 2017

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Robert Ndunguru (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on November 21, 2017

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on October 30, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdullah (Guest) on October 25, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mwagonda (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ann Wambui (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Andrew Mchome (Guest) on October 16, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Muthoni (Guest) on October 15, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Shabani (Guest) on September 28, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti kati ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo mwanamme anapotoka kuoga

Tofauti ya Binti wa Kizungu na Binti wa Kibongo pale ambapo Mwanaume wake atokapo kuoga.

Bi... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More