Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Featured Image

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofika akasema, "naomba leseni yako."
Mama akasachi mkoba Wake akatoa kioo kidogo cha kujtazama akampatia! Trafik akakiangalia kwa dakika 2
Akasema sasa si ungesema kama wewe ni trafik mwenzangu!
Haya nenda
Ulevi sio mzuri
πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joyce Mussa (Guest) on December 31, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kiza (Guest) on October 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on September 10, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Daniel Obura (Guest) on August 23, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on August 18, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Kassim (Guest) on August 16, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Betty Cheruiyot (Guest) on July 19, 2019

😊🀣πŸ”₯

Margaret Anyango (Guest) on July 5, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Njeri (Guest) on June 29, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Mahiga (Guest) on June 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 21, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on May 9, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Makame (Guest) on May 8, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Sekela (Guest) on May 2, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Vincent Mwangangi (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kijakazi (Guest) on March 17, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 17, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Jamila (Guest) on February 5, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Grace Njuguna (Guest) on January 16, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

John Lissu (Guest) on January 9, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Mwinuka (Guest) on January 1, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on December 28, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on December 15, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joseph Njoroge (Guest) on November 27, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Miriam Mchome (Guest) on November 21, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on November 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on October 12, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mchawi (Guest) on October 1, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nicholas Wanjohi (Guest) on September 8, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on September 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 7, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on July 24, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwinyi (Guest) on June 10, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

David Musyoka (Guest) on June 4, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Khamis (Guest) on May 21, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Mwakisu (Guest) on May 17, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on April 22, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Diana Mallya (Guest) on April 21, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Azima (Guest) on April 13, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on April 12, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on April 5, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on April 1, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Mduma (Guest) on March 15, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Jafari (Guest) on March 3, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Anna Kibwana (Guest) on January 28, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mariam Kawawa (Guest) on January 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Edward Chepkoech (Guest) on December 14, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 10, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on October 31, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on September 26, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hekima (Guest) on September 2, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Linda Karimi (Guest) on September 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on August 20, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 17, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

David Chacha (Guest) on August 13, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kassim (Guest) on July 28, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on July 20, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More