Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Featured Image

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya siku mbili nikapata pesa zaidi ya laki nne hivi, nikaamua kumpa 100,000/= mpenzi wangu bila yeye kuniomba.
Baada ya siku 3 akaja kuniambia:- "Bae, ile 10,000/- niliyokuazima mwenyewe amekuja kunidai, so kama unayo naomba unipe nimrudishie maana ananisumbua leo siku ya 3."
SAA HIZI NIPO ZANGU SINGLE NATAFUTA DEM MWINGINE

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on February 24, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on February 23, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on February 21, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 20, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Mwalimu (Guest) on February 10, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Moses Mwita (Guest) on February 1, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on January 18, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 7, 2020

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on December 12, 2019

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on December 6, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Rose Mwinuka (Guest) on November 24, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Zainab (Guest) on November 4, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Faith Kariuki (Guest) on October 14, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Ann Wambui (Guest) on September 15, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Chacha (Guest) on September 10, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on August 5, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 5, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on June 18, 2019

😊🀣πŸ”₯

Mariam (Guest) on June 12, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Brian Karanja (Guest) on June 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on June 10, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chris Okello (Guest) on May 30, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on May 13, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Richard Mulwa (Guest) on May 6, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on April 9, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on April 6, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Diana Mumbua (Guest) on March 30, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Agnes Njeri (Guest) on March 27, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Carol Nyakio (Guest) on March 3, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on January 23, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nassar (Guest) on January 17, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Tenga (Guest) on January 16, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on January 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 21, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Maida (Guest) on September 28, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Charles Mrope (Guest) on September 10, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on August 12, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Patrick Mutua (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Khalifa (Guest) on August 4, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Richard Mulwa (Guest) on July 13, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Shamsa (Guest) on July 1, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Rose Lowassa (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lydia Mahiga (Guest) on June 22, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on June 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Habiba (Guest) on June 1, 2018

Asante Ackyshine

Mwajabu (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Andrew Odhiambo (Guest) on April 10, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Sokoine (Guest) on March 6, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on February 4, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mhina (Guest) on January 20, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Samson Mahiga (Guest) on December 19, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ruth Wanjiku (Guest) on December 1, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Janet Wambura (Guest) on November 20, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on October 13, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on September 28, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on September 24, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Related Posts

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Cheki huyu jamaa anachomfanyia huyu mrembo kanisani

Jamaa kaenda kanisani akakaa karibu na mrembo. Wakati mahubiri yakiendlea jamaa akaanza kuingiza voc... Read More
Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More