Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.
Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".
Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?
Jamaa: Hapana.
Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?
Jamaa: Hapana.
Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?
Jamaa: NDIYO.
Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.
Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?
Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.
Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"
Jamaa: NDIYO.
Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?
Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!
Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.
*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.
WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
ππππ
Rose Amukowa (Guest) on December 1, 2019
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Lydia Wanyama (Guest) on November 8, 2019
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Nasra (Guest) on November 8, 2019
π Nacheka hadi chini!
Charles Wafula (Guest) on September 30, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Henry Sokoine (Guest) on September 27, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Edward Chepkoech (Guest) on September 21, 2019
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ππ
Mary Kidata (Guest) on September 5, 2019
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Thomas Mtaki (Guest) on August 27, 2019
π Ninakufa hapa!
Joseph Njoroge (Guest) on August 26, 2019
π Lazima nihifadhi hii!
Rahma (Guest) on August 24, 2019
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Daniel Obura (Guest) on August 6, 2019
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2019
Hii imenikuna sana! ππ
Patrick Mutua (Guest) on June 30, 2019
π Nitaiiba hii bila shaka!
Jane Malecela (Guest) on May 13, 2019
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Nora Lowassa (Guest) on May 8, 2019
π Hali imeboreshwa papo hapo!
Alex Nakitare (Guest) on April 24, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Dorothy Nkya (Guest) on April 20, 2019
πππ
Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2019
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Paul Kamau (Guest) on April 9, 2019
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Michael Mboya (Guest) on April 3, 2019
Hii ni joke ya kufurahisha sana! ππ
Thomas Mtaki (Guest) on March 12, 2019
π€£ππ
Peter Mugendi (Guest) on March 8, 2019
Nimeipenda hii joke! ππ
Lydia Mahiga (Guest) on March 4, 2019
ππ π
Elizabeth Mrema (Guest) on March 3, 2019
πππ π
Benjamin Masanja (Guest) on February 27, 2019
π€£ Hii imewaka moto!
Joseph Kiwanga (Guest) on February 17, 2019
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Francis Mrope (Guest) on February 13, 2019
Mna talent ya jokes! ππ
Issa (Guest) on January 10, 2019
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Latifa (Guest) on December 31, 2018
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
James Malima (Guest) on December 20, 2018
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Grace Mushi (Guest) on November 26, 2018
π€£ Ninashiriki hii sasa hivi!
Alice Jebet (Guest) on November 24, 2018
Hii imenibamba sana! ππ
Kassim (Guest) on November 2, 2018
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Henry Mollel (Guest) on October 2, 2018
π Hii ni dhahabu!
Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018
π Nacheka hadi chini sasa hivi!
Zubeida (Guest) on July 28, 2018
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Diana Mumbua (Guest) on July 27, 2018
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Nchi (Guest) on July 16, 2018
π Umenishika vizuri!
Simon Kiprono (Guest) on June 28, 2018
π€£π€£ππ
Mtumwa (Guest) on May 17, 2018
π Ninashiriki mara moja!
Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2018
π Bado nacheka!
Henry Sokoine (Guest) on March 30, 2018
ππ€£π
Rose Waithera (Guest) on March 28, 2018
π Kicheko bora ya siku!
Diana Mumbua (Guest) on March 17, 2018
ππππ
Hawa (Guest) on March 4, 2018
π Umeshinda mtandao leo!
John Kamande (Guest) on February 21, 2018
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Nuru (Guest) on February 21, 2018
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
George Mallya (Guest) on February 18, 2018
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Paul Ndomba (Guest) on February 13, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Anna Mahiga (Guest) on February 2, 2018
ππ€£ππ
Jane Muthoni (Guest) on January 26, 2018
Hii ni ya kufurahisha! ππ
Victor Kimario (Guest) on January 20, 2018
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2018
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Janet Sumaye (Guest) on January 2, 2018
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Alex Nyamweya (Guest) on December 23, 2017
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Amir (Guest) on December 21, 2017
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Grace Majaliwa (Guest) on December 21, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha! ππ
John Mushi (Guest) on December 20, 2017
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Lydia Mzindakaya (Guest) on December 2, 2017
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π