Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Halima (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on January 12, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Isaac Kiptoo (Guest) on January 11, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on December 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Lucy Mahiga (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jackson Makori (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on September 6, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Salma (Guest) on August 1, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 7, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lydia Wanyama (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on June 22, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Nancy Komba (Guest) on June 9, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Christopher Oloo (Guest) on May 29, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

James Kimani (Guest) on May 11, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Jaffar (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Diana Mallya (Guest) on April 21, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on April 2, 2019

🀣πŸ”₯😊

Joseph Njoroge (Guest) on March 23, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Njuguna (Guest) on March 11, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

David Kawawa (Guest) on February 21, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on January 3, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on December 25, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on December 4, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Christopher Oloo (Guest) on November 21, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on November 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

David Kawawa (Guest) on October 26, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on October 16, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Kenneth Murithi (Guest) on October 6, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Edward Chepkoech (Guest) on September 9, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanahawa (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline!

Richard Mulwa (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Grace Minja (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Maneno (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Richard Mulwa (Guest) on July 7, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Susan Wangari (Guest) on May 29, 2018

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Hellen Nduta (Guest) on May 27, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on May 9, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Stephen Amollo (Guest) on April 20, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on April 13, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Samson Tibaijuka (Guest) on April 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on April 8, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on March 8, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Diana Mallya (Guest) on February 25, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on February 15, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nassor (Guest) on January 26, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Stephen Kikwete (Guest) on December 25, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 8, 2017

😊🀣πŸ”₯

Hashim (Guest) on October 23, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on October 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More