Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Featured Image

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ulevi wako.

MUME: kama hufungui najitupa kwenye hili shimo nife kabisa.

MKE. Kufa huna faida yoyote duniani!

MUMEΒ kachukua jiwe kubwa kalitupa kwenye shimo chubwiiiiiii!

MKE kajifunga kanga, kafungua mlango. Ghafla mume kaingia ndani na kumfungia mke nje.

MKE: Nifungulie la sivyo nitapiga kelele majirani waje.

MUME: Piga kelele na wakija uwambie unakotoka usiku huu na khanga moja.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Shabani (Guest) on January 19, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Samuel Were (Guest) on January 11, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Joyce Mussa (Guest) on January 6, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on December 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Nancy Kabura (Guest) on December 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 29, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mary Njeri (Guest) on November 15, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kawawa (Guest) on November 14, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on November 12, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Awino (Guest) on November 9, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Fredrick Mutiso (Guest) on October 29, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

John Mushi (Guest) on October 27, 2019

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mgeni (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on October 13, 2019

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Andrew Mchome (Guest) on August 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on July 30, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Ahmed (Guest) on July 21, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

David Ochieng (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

James Kawawa (Guest) on April 18, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rukia (Guest) on April 18, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Elizabeth Mtei (Guest) on March 30, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Zubeida (Guest) on March 29, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Rose Amukowa (Guest) on March 29, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on March 19, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Jacob Kiplangat (Guest) on February 21, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on February 19, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Francis Njeru (Guest) on January 31, 2019

🀣πŸ”₯😊

David Chacha (Guest) on December 19, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on December 19, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nora Kidata (Guest) on December 1, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jackson Makori (Guest) on November 23, 2018

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on September 28, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on September 19, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Emily Chepngeno (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Miriam Mchome (Guest) on August 10, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mercy Atieno (Guest) on August 10, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Samuel Were (Guest) on May 24, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Zainab (Guest) on May 19, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mchawi (Guest) on April 25, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mary Kidata (Guest) on April 16, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 7, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Mallya (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on February 12, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on January 26, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on January 15, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hamida (Guest) on December 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Alex Nakitare (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on November 13, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on November 3, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Samson Tibaijuka (Guest) on November 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on October 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jackson Makori (Guest) on October 10, 2017

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on October 7, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on September 26, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 15, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on September 1, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More