Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Featured Image

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe yake maana ninapokunywa soda napenda kila mtu anywe
WATU :Β Ha! Ha! Ha! Haaaa!
JAMAA :Β Nipe mchemsho na kila mtu mpe wa kwake maana ninapokula mchemsho napenda kila mtu ale wake
WATU:Β Watu weweeee! Tena safari hii Na makofi juu..
JAMAA :Β Mhudumu, nipe bili na kila mtu mpe yake maana ninapolipa bili napenda kuona kila mtu analipa yake
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fredrick Mutiso (Guest) on October 12, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mustafa (Guest) on August 6, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Nancy Komba (Guest) on July 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ndoto (Guest) on July 6, 2019

Asante Ackyshine

Joseph Kiwanga (Guest) on June 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on June 20, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mtumwa (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 8, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mahiga (Guest) on May 3, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on April 30, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwanais (Guest) on April 21, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Zubeida (Guest) on April 4, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on March 14, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mzee (Guest) on February 12, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alice Wanjiru (Guest) on February 2, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Victor Kimario (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on November 29, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Mallya (Guest) on November 26, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on November 18, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Josephine Nduta (Guest) on November 13, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanais (Guest) on October 29, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Baridi (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Charles Mrope (Guest) on September 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Margaret Mahiga (Guest) on September 1, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Samson Mahiga (Guest) on August 19, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanais (Guest) on July 29, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samuel Were (Guest) on July 15, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Masika (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Kangethe (Guest) on June 28, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on June 26, 2018

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jackson Makori (Guest) on June 14, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on June 13, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 27, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Khadija (Guest) on April 15, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on April 10, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on April 2, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Agnes Njeri (Guest) on March 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on March 10, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nchi (Guest) on March 6, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Mahiga (Guest) on February 19, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on January 13, 2018

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2017

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Sokoine (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Joyce Aoko (Guest) on September 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 3, 2017

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 29, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 25, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on July 23, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on July 20, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Tenga (Guest) on July 14, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Mushi (Guest) on June 29, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Victor Malima (Guest) on June 28, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Josephine (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Related Posts

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More