Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
2. Playboy/playgirl. Hawezi kutembea na msichana/mvulana mmoja mara mbili.
3. Group ya marafiki watatu. Kila mara wako pamoja.
4. Mtu mwenye maswali ya kuudhi/kukera.
5. Msongolist kimeo. Huyu huwa anasoma sana bt hana bahati ya kufanya vizuri. Yani msuli tembo, bt matokeo sisimizi.
6. Mlafi. Huyu huwa hakatai offer.
7. Mtoro wa kudumu. Haji darasani hata km hana sababu.
8. Mchelewaji wa kudumu. Anakuja kipindi kiko katikati au kinakaribia kuisha.
9. Miss/Mr.Misifa. kila mara ataeleza the way nyumbani kwao walivyo matajiri.
10. Less talkative bt kiwembe. Jamaa mkimya bt unakuta ametembea na karibu wasichana 15 hapo class.
11. Handsome boy ambaye hana mpango na wanawake.
12.Chips addicted. Hawa wanaweza kula chips asubuhi mchana na jioni. Jumatatu hadi jumatatu.
13. Back benchers. Hawa huwa watundu sana na ni watu wa jokes. Huwa hawajibu swali, but wanasubiri wakati wa kushangilia waongeze bezi.
14. Wambea. Hawapitwi na kitu darasani na washazoea kufeli.
15. Mchungaji/Mtumishi wa Mungu,
16. Waimbaji/Wasanii,
17.Walevi
18.Mabishoo.
19. Team popo. Hawa wewe na hela wasiwe na hela wanakesha club,
20.Mwenye aibu kusimama mbele za watu. Wakati wa Presentation anakimbilia kusimama nyuma ya wenzie,
21. Viherehere. Hawa mara nyingi hutokea kupendwa sana na waalimu.
22. Wanaosoma ili kushindana kwny GPA.
23. Kupe. Huyu boom likitoka atawaganda wenzie hadi ziishe, halafu yeye anaanza kula zake alone.
24. Wise man/woman. Huyu huwa ni mtu anayeaminika na kila mtu darasani. Hutumika sn kushauri pale mambo yanapoenda mrama. Mara nyingi huwa ni mtu mzima.
25.mpenda supu" yeye hata ya nyani atakunywa tu.
26.Fix man. Huyu atakuomba jero, akafuatilie dili la milioni kumi town, kumbe hana hela ya chai.
27. Photocopy machine. Huyu ukimuonesha majibu kwny mtihani anaweza kucopy hadi jina lako.
π₯Usposema wewe uko namba ngapi mwngine atakusemaπππ
π
π
π
π
Binti (Guest) on March 26, 2020
π€£ Sikutarajia hiyo!
Thomas Mtaki (Guest) on February 11, 2020
π Bado ninacheka!
Grace Majaliwa (Guest) on February 7, 2020
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Alice Wanjiru (Guest) on January 22, 2020
π Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!
Mwanaidha (Guest) on January 13, 2020
π Bado nacheka!
John Mwangi (Guest) on January 1, 2020
π€£ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Joseph Kawawa (Guest) on November 22, 2019
Hii imenipa furaha ya siku! ππ
Jane Muthui (Guest) on November 3, 2019
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Raphael Okoth (Guest) on October 24, 2019
π Umenishika vizuri!
Husna (Guest) on October 23, 2019
π€£ Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!
Alex Nakitare (Guest) on September 20, 2019
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Elizabeth Mrema (Guest) on September 3, 2019
Napenda jinsi mnavyofikiria! π€π
Rose Kiwanga (Guest) on August 10, 2019
π Lazima nihifadhi hii!
Grace Njuguna (Guest) on August 1, 2019
Hii ni ya maana sana! ππ
Nancy Kabura (Guest) on July 30, 2019
π€£π€£π
Mwalimu (Guest) on June 27, 2019
π Nacheka hadi nalia!
Jane Malecela (Guest) on May 30, 2019
Hii imenikuna! ππ
John Kamande (Guest) on May 22, 2019
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Violet Mumo (Guest) on May 13, 2019
πππ€£
Sarah Achieng (Guest) on May 1, 2019
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Betty Cheruiyot (Guest) on May 1, 2019
Hii imenikuna sana! ππ
Mariam Hassan (Guest) on April 23, 2019
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Elizabeth Mrema (Guest) on March 23, 2019
π Siwezi kuacha kucheka!
Stephen Mushi (Guest) on March 8, 2019
π€£π€£ππ
Peter Mbise (Guest) on February 16, 2019
ππ€£ππ
Henry Sokoine (Guest) on February 5, 2019
Hii ni ya kufurahisha sana! ππ
Martin Otieno (Guest) on December 29, 2018
π Ninashiriki mara moja!
Nancy Akumu (Guest) on November 27, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Robert Ndunguru (Guest) on November 19, 2018
π Nimeipenda kabisa hii!
Daniel Obura (Guest) on November 7, 2018
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Mwakisu (Guest) on November 6, 2018
Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! π
Zubeida (Guest) on October 28, 2018
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Faith Kariuki (Guest) on October 9, 2018
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
Henry Mollel (Guest) on September 28, 2018
ππ€£ππ
Daniel Obura (Guest) on September 21, 2018
Kweli ni jokes za ukweli! ππ
Thomas Mtaki (Guest) on September 2, 2018
ππ ππ
Irene Makena (Guest) on August 27, 2018
Nimecheka kwa sauti! π€£π€£
Alice Mwikali (Guest) on August 15, 2018
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ππ€£
Margaret Anyango (Guest) on August 14, 2018
Hii imenifurahisha kweli! ππ
Monica Lissu (Guest) on July 26, 2018
Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! ππ
Mustafa (Guest) on July 18, 2018
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Mariam Kawawa (Guest) on July 16, 2018
πππ
Grace Mushi (Guest) on May 23, 2018
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Lydia Mahiga (Guest) on May 15, 2018
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Rose Kiwanga (Guest) on May 4, 2018
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Binti (Guest) on April 21, 2018
π Kichekesho kamili!
Esther Nyambura (Guest) on April 20, 2018
Nimefurahia hii sana! ππ
Mwanaidi (Guest) on March 24, 2018
π Hiyo punchline!
Mwafirika (Guest) on March 22, 2018
π Nitaiiba hii bila shaka!
Victor Sokoine (Guest) on February 24, 2018
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! π
John Lissu (Guest) on February 15, 2018
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
Janet Mwikali (Guest) on February 13, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Peter Otieno (Guest) on February 10, 2018
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Mazrui (Guest) on January 23, 2018
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Linda Karimi (Guest) on December 4, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Joseph Mallya (Guest) on November 22, 2017
πππ π€£
Nora Lowassa (Guest) on October 21, 2017
π€£ Ujuzi wa hali ya juu!
Edward Lowassa (Guest) on October 14, 2017
π Kichekesho gani!
Mwalimu (Guest) on October 6, 2017
π Hii ni hazina ya kichekesho!
Frank Macha (Guest) on October 5, 2017
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ