Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mke ni shida!

Featured Image

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".πŸ‘΄πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜’
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.πŸ‘΅πŸ˜·
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".πŸ‘΄πŸ˜‘
MKE: "Sidiria yetu!!"πŸ‘™πŸ’
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")πŸ‘΄πŸ˜·πŸ˜·
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kitine (Guest) on August 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on June 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Chum (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Omari (Guest) on April 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Faiza (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on March 8, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yusuf (Guest) on March 7, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Baridi (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on January 12, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on January 8, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 22, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on December 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Philip Nyaga (Guest) on November 10, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on August 26, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on July 9, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on June 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 8, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarafina (Guest) on May 20, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on April 30, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Yusra (Guest) on April 15, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Majid (Guest) on April 8, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Kidata (Guest) on March 31, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 27, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 14, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 15, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 5, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on December 30, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 18, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on November 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Charles Mchome (Guest) on November 16, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on November 13, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on November 8, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on October 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Mboya (Guest) on October 15, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on October 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kahina (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Hawa (Guest) on August 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Margaret Anyango (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on July 6, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mrope (Guest) on May 20, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2017

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Madogo wa sikuizi ni kiboko, cheki huyu alichokifanya akiwa darasani na mwalimu wake

Muda wa kwenda nyumbani ulikuwa umefika, mwalimu
akasema: yeyote atakaye jibu swali langu lo... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More