Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Featured Image

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja akafanikiwa kupanda akaondoka…

Yule aliyebaki akaanza kucheka sanaa mpaka machozi yakamtoka. Watu wakamuullza, unacheka nini sasa wakati umeachwa? Akawajibu: "kinachonichekesha, yule aliyepanda alikuwa ananisindikiza.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ruth Kibona (Guest) on May 7, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Amani (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Robert Okello (Guest) on April 11, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Zuhura (Guest) on April 9, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Peter Tibaijuka (Guest) on April 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on April 3, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on March 31, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on March 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on March 17, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fredrick Mutiso (Guest) on February 27, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mercy Atieno (Guest) on February 22, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

George Wanjala (Guest) on February 18, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Halima (Guest) on February 12, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on January 28, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on January 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on December 12, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jabir (Guest) on November 20, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Selemani (Guest) on October 25, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Andrew Odhiambo (Guest) on September 21, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Victor Malima (Guest) on July 31, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on July 25, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Michael Mboya (Guest) on July 21, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Charles Wafula (Guest) on June 25, 2018

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on June 24, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Moses Mwita (Guest) on May 21, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Susan Wangari (Guest) on May 20, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Moses Mwita (Guest) on May 16, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on May 16, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Tabitha Okumu (Guest) on May 14, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on May 8, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Wairimu (Guest) on April 2, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on March 31, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on March 19, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Joyce Mussa (Guest) on February 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Bakari (Guest) on January 22, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Kazija (Guest) on January 19, 2018

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Mtumwa (Guest) on January 17, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on January 8, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 30, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on December 27, 2017

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Abubakar (Guest) on December 6, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Robert Ndunguru (Guest) on November 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Amollo (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Zubeida (Guest) on October 9, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on October 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on August 28, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Nkya (Guest) on August 22, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Kahina (Guest) on July 23, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Khalifa (Guest) on July 21, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Stephen Mushi (Guest) on July 19, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mohamed (Guest) on July 10, 2017

Asante Ackyshine

Victor Sokoine (Guest) on June 21, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on June 13, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Joseph Njoroge (Guest) on June 12, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on May 27, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on May 13, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on April 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Majid (Guest) on March 9, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Janet Sumari (Guest) on March 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on March 1, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More