Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.
Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini
Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia
Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata
Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi
Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?
Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?
Victor Sokoine (Guest) on December 10, 2019
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Kheri (Guest) on November 7, 2019
π Sikutarajia hiyo ikitokea!
Victor Sokoine (Guest) on November 6, 2019
ππππ
Mwanajuma (Guest) on October 22, 2019
Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! β°
Baridi (Guest) on September 1, 2019
π Umenishika vizuri!
Joyce Nkya (Guest) on August 23, 2019
Hizi jokes ni za ukweli! ππ
Philip Nyaga (Guest) on August 22, 2019
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Agnes Njeri (Guest) on August 16, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Isaac Kiptoo (Guest) on August 4, 2019
Hii imenikuna sana! ππ
Stephen Amollo (Guest) on June 24, 2019
Hii ni ya maana sana! ππ
Hekima (Guest) on June 17, 2019
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! π
Miriam Mchome (Guest) on May 12, 2019
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2019
Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 3, 2019
ππ€£ππ
Martin Otieno (Guest) on April 20, 2019
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2019
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! π
Peter Mbise (Guest) on February 26, 2019
π Bado nacheka!
John Kamande (Guest) on February 19, 2019
π Nitaiiba hii bila shaka!
Joseph Mallya (Guest) on January 26, 2019
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Stephen Mushi (Guest) on January 21, 2019
Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! π―
Peter Mugendi (Guest) on November 16, 2018
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
John Lissu (Guest) on November 15, 2018
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Stephen Malecela (Guest) on November 11, 2018
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Fatuma (Guest) on October 30, 2018
π Umenishika vizuri!
Rukia (Guest) on October 10, 2018
π Siwezi kuacha kucheka!
Dorothy Nkya (Guest) on September 16, 2018
π Kali sana!
Elizabeth Mtei (Guest) on September 7, 2018
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ€£
Nancy Kawawa (Guest) on September 1, 2018
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Sarah Achieng (Guest) on August 22, 2018
Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! ππ
Issack (Guest) on August 12, 2018
π Bado nacheka!
Rahma (Guest) on August 9, 2018
π Kichekesho kamili!
John Malisa (Guest) on August 4, 2018
ππ
Linda Karimi (Guest) on July 13, 2018
Mna talent ya jokes! ππ
Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2018
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ππ€£
Josephine (Guest) on May 29, 2018
π€£ Ninaituma sasa hivi!
Monica Lissu (Guest) on May 12, 2018
π€£ππ
Edwin Ndambuki (Guest) on April 27, 2018
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
John Mushi (Guest) on April 23, 2018
Nimefurahia sana hii! π π
Linda Karimi (Guest) on April 21, 2018
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Nyota (Guest) on April 17, 2018
π Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Irene Makena (Guest) on April 4, 2018
π Kali sana!
Patrick Mutua (Guest) on February 25, 2018
Hizi jokes zinabamba sana! ππ
Vincent Mwangangi (Guest) on January 21, 2018
π Ninacheka sana sasa hivi!
Janet Wambura (Guest) on December 18, 2017
π Bado nacheka!
Anna Sumari (Guest) on December 12, 2017
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π€£π
Lucy Kimotho (Guest) on December 9, 2017
Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! π
Samson Tibaijuka (Guest) on November 24, 2017
ππ
Dorothy Mwakalindile (Guest) on November 22, 2017
π Hii ni kali sana!
Violet Mumo (Guest) on November 2, 2017
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Kenneth Murithi (Guest) on October 26, 2017
π€£πππ
Athumani (Guest) on October 16, 2017
π€£ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!
Violet Mumo (Guest) on October 7, 2017
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
Baraka (Guest) on September 27, 2017
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Paul Ndomba (Guest) on September 25, 2017
π Hiyo punchline ilikuwa kali!
David Kawawa (Guest) on August 15, 2017
Hii imenichekesha sana! ππ
Philip Nyaga (Guest) on July 12, 2017
π Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!
Anna Mchome (Guest) on June 28, 2017
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Charles Mchome (Guest) on June 6, 2017
Nimefurahia sana hii joke! π π
Peter Tibaijuka (Guest) on June 1, 2017
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
Lydia Mutheu (Guest) on May 25, 2017
π Hii ni ubunifu wa hali ya juu!