Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Featured Image
GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje?
BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe kionjo kidogo tu
GIRL: Enhee…
BOY: Kwanza siku ya kupeleka mahari nitaswaga zizi zima la ng'ombe napeleka kwa babu yako
GIRL: Ooh baby u care..
BOY: Siyo hivyo tu, baba yako ntamnunulia Range Rover Sport na mama mkwe ntampa Range Rover Evoque
GIRL: Baby u are awesome…
BOY: Halagu mdogo wako wa kiume ntampa Prado Tx, na hapo nimesukutua tu mdomo sijaanza kula….
GIRL: Enhee…na sisi??

BOY: Sisi tutachukua mtaa mzima Oysterbay, kila wiki tutaishi nyumba tofauti
Halafu siku ya harusi yetu tutakodi zile meli zinabeba makontena ndiyo iwe ukumbi wetu, itatupeleka hadi Maldives
GIRL: Baby I love you
BOY: Tukitoka hapo tunaenda honeymoon Bahamas….halafu tunaenda Taiwan shopping ya fenicha, kisha Japan shopping ua electronics, halafu tunaenda Dubai nikununulie vito vya thamani
GIRL: Ooh my sweetheart…halafu tukitoka huko??
BOY: Tukitoka huko nachukua ndoo ya maji nakumwagia uzinduke usingizini na ndoto yako imeishia hapo
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mrope (Guest) on January 12, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Maida (Guest) on January 3, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on January 3, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mary Kidata (Guest) on November 28, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Malisa (Guest) on November 15, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on November 10, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Paul Kamau (Guest) on November 6, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚πŸ€£

Tabu (Guest) on October 23, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Edith Cherotich (Guest) on September 27, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on August 14, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on August 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on July 27, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Rose Waithera (Guest) on July 20, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on July 17, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

John Kamande (Guest) on July 12, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Zakaria (Guest) on June 14, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Brian Karanja (Guest) on May 21, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Moses Mwita (Guest) on May 11, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Michael Mboya (Guest) on April 28, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Mushi (Guest) on February 27, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwajuma (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on January 25, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Catherine Naliaka (Guest) on January 22, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 2, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on December 12, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on November 25, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Baraka (Guest) on October 25, 2018

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on September 15, 2018

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Latifa (Guest) on July 26, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Betty Cheruiyot (Guest) on July 4, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on June 16, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mary Mrope (Guest) on May 5, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 1, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Paul Ndomba (Guest) on April 23, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Rahma (Guest) on April 16, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on April 14, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 10, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Grace Wairimu (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Thomas Mtaki (Guest) on March 14, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on February 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Sokoine (Guest) on February 19, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rubea (Guest) on February 13, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on February 9, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on January 6, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on December 10, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Sokoine (Guest) on November 27, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mariam Kawawa (Guest) on November 10, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Malima (Guest) on October 24, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mallya (Guest) on October 23, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on October 22, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Rose Waithera (Guest) on October 4, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on September 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on September 17, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on September 10, 2017

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Rubea (Guest) on August 31, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Nora Kidata (Guest) on August 4, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Daniel Obura (Guest) on July 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More