Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Featured Image
Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. Chezeya mchaga!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Kimario (Guest) on July 29, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Alice Mwikali (Guest) on July 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

David Sokoine (Guest) on July 6, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on July 5, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Tambwe (Guest) on July 5, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alice Jebet (Guest) on June 26, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Hekima (Guest) on May 28, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Neema (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Mbise (Guest) on May 2, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Anna Mahiga (Guest) on March 13, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Mwambui (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on February 4, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on February 3, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nassor (Guest) on January 24, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on January 11, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 24, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Latifa (Guest) on December 20, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

James Malima (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Patrick Kidata (Guest) on October 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Zainab (Guest) on October 10, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Minja (Guest) on September 23, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on September 7, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Sultan (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on August 8, 2018

🀣πŸ”₯😊

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 1, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on July 31, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Josephine Nekesa (Guest) on July 30, 2018

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on July 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

John Mwangi (Guest) on June 29, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Alex Nyamweya (Guest) on June 21, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on May 2, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 27, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on April 1, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Salum (Guest) on March 31, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on March 26, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on February 25, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on February 23, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Rubea (Guest) on January 4, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mchome (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Omondi (Guest) on November 26, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 18, 2017

Asante Ackyshine

Grace Mligo (Guest) on October 25, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on October 16, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on October 13, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Njuguna (Guest) on October 5, 2017

😊🀣πŸ”₯

John Lissu (Guest) on October 4, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Abubakari (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Michael Mboya (Guest) on September 21, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on August 30, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Zulekha (Guest) on August 28, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on July 22, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on June 17, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Hii dunia ina mambo, cheki kilichotokea wakati mme anakata roho akiwa na mke wake

Bwana mmoja wakati anakata roho alimwambia mkewe hivi:

MUME - mke wangu natubu mbele yako k... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More