Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
"Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..

Kabla hajamalizia sentensi simu
ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
jamaa anasikia

"Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada
ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema
umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa
nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on October 6, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Juma (Guest) on September 24, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joyce Mussa (Guest) on September 13, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

James Kimani (Guest) on September 6, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Isaac Kiptoo (Guest) on August 9, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 7, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Safiya (Guest) on June 23, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Husna (Guest) on June 17, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Paul Ndomba (Guest) on April 2, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜… Bado ninacheka!

Faith Kariuki (Guest) on March 18, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on March 7, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on March 6, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Maimuna (Guest) on February 10, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Susan Wangari (Guest) on January 23, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Makena (Guest) on January 14, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on January 8, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Warda (Guest) on January 4, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on December 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on November 4, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Lucy Mahiga (Guest) on September 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

George Ndungu (Guest) on August 16, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Margaret Anyango (Guest) on August 15, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Bahati (Guest) on August 8, 2018

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Daniel Obura (Guest) on July 20, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sultan (Guest) on July 1, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on June 24, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nasra (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Alex Nyamweya (Guest) on May 21, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Ruth Kibona (Guest) on March 22, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mwanajuma (Guest) on March 21, 2018

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Brian Karanja (Guest) on March 20, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Mchawi (Guest) on March 17, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Hassan (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Makame (Guest) on January 31, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Benjamin Masanja (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joyce Mussa (Guest) on January 20, 2018

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on November 29, 2017

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on November 20, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Mchome (Guest) on October 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joyce Aoko (Guest) on September 12, 2017

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on August 15, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Khadija (Guest) on July 29, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Elizabeth Mtei (Guest) on July 1, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Robert Ndunguru (Guest) on June 28, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Shabani (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Thomas Mtaki (Guest) on June 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maneno (Guest) on May 26, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Carol Nyakio (Guest) on April 14, 2017

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Mary Kidata (Guest) on December 26, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on December 23, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on December 17, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More