Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS๐Ÿ’Œ๐Ÿ’•
โ˜ฐ
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโ€ฆ

Mara blenda priiiiiโ€ฆ juiceโ€ฆ ama milk shakeโ€ฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shakeโ€ฆAnza kukuna naziโ€ฆ

Chambua mnafuโ€ฆ

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโ€ฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโ€ฆ hahahaha kwenye frijiโ€ฆ wala hatumi..

Hahaahhaโ€ฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supuโ€ฆ

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapatiโ€ฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโ€ฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโ€ฆHahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโ€ฆ

Hahahahahahaโ€ฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโ€ฆ aogeโ€ฆ

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโ€ฆ

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamaniโ€ฆ

Hahahahahaโ€ฆ yani kwa raha ya supuโ€ฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโ€ฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโ€ฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโ€ฆ

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโ€ฆ. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโ€ฆ
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on June 10, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! ๐Ÿค”๐Ÿ˜†

Masika (Guest) on May 26, 2022

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on April 25, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

David Musyoka (Guest) on April 11, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐Ÿ˜‚

Abdullah (Guest) on April 10, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! ๐Ÿ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on April 5, 2022

๐Ÿคฃ Ujuzi wa hali ya juu!

Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2022

๐Ÿ‘๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Joy Wacera (Guest) on March 3, 2022

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 2, 2022

๐Ÿ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Grace Mushi (Guest) on February 16, 2022

Hii imenichekesha sana! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Rose Waithera (Guest) on February 8, 2022

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! ๐Ÿ˜…

Elijah Mutua (Guest) on January 18, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Neema (Guest) on November 22, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜„

Grace Minja (Guest) on November 15, 2021

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Simon Kiprono (Guest) on November 14, 2021

๐Ÿ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Charles Wafula (Guest) on October 11, 2021

Nimefurahia hii sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Baraka (Guest) on October 10, 2021

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 4, 2021

Hii ni joke ya maana sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Emily Chepngeno (Guest) on September 27, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! ๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Omar (Guest) on September 6, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐ŸŽ‰

Victor Kimario (Guest) on August 26, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Sarah Achieng (Guest) on August 21, 2021

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

John Mwangi (Guest) on August 10, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ

Margaret Mahiga (Guest) on July 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 24, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Mushi (Guest) on June 15, 2021

๐Ÿ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on May 21, 2021

Napenda jokes zenu! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜…

Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2021

๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Kazija (Guest) on April 26, 2021

๐Ÿคฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Ndunguru (Guest) on April 17, 2021

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Jabir (Guest) on March 15, 2021

๐Ÿคฃ Hii imenigonga vizuri!

Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2021

๐Ÿ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

Francis Njeru (Guest) on January 27, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Rose Lowassa (Guest) on December 9, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Grace Minja (Guest) on December 2, 2020

Umetisha! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 8, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! ๐Ÿ˜„

Joyce Mussa (Guest) on October 28, 2020

๐Ÿ˜ Hii ni hazina ya kichekesho!

Aziza (Guest) on October 20, 2020

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Mushi (Guest) on August 30, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Habiba (Guest) on August 19, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 11, 2020

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ๐Ÿ˜†

Agnes Njeri (Guest) on July 30, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on June 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on June 22, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! ๐Ÿ˜

Brian Karanja (Guest) on June 11, 2020

๐Ÿ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2020

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on May 5, 2020

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Baraka (Guest) on April 14, 2020

๐Ÿ˜ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 6, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Zakia (Guest) on April 3, 2020

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Margaret Anyango (Guest) on March 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Mchuma (Guest) on March 15, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐Ÿ˜„

Henry Sokoine (Guest) on February 1, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Edith Cherotich (Guest) on November 13, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Jafari (Guest) on November 12, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! ๐Ÿ˜†

Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2019

Hii imenikuna! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š

Fadhila (Guest) on October 23, 2019

๐Ÿคฃ Hii imewaka moto!

Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Related Posts

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

MVULANA:ย Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Eti kwa nini Watu hawapostigi hii? Hata selfie sijaonaga

Vijana mkiwa mnaendesha magari mna post mukiwa mpo beach mna post mkiwa kwenye masherehe mna pos... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu ๐Ÿ‘ง girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu ๐Ÿ‘ง girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More