Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.
Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni
Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.
Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??
Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO
Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.
Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoniโฆ
Mara blenda priiiiiโฆ juiceโฆ ama milk shakeโฆ. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..
Wakati anakunywa juice ama milk shakeโฆAnza kukuna naziโฆ
Chambua mnafuโฆ
Hapo jikoni kuna kanyama kanachemkaโฆ katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..
ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoniโฆ hahahaha kwenye frijiโฆ wala hatumi..
Hahaahhaโฆ utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.
Mmiminie supuโฆ
Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..
Muulize kuna chapatiโฆMpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..
.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeivaโฆMpe ale..Mshushie na glass ya mtindiโฆHahahaha..
analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipigeโฆ
Hahahahahahaโฆ.Baada ya hapo acha apumzikeโฆ aogeโฆ
Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..
Mkimaliza muombe pesa ya sokoniโฆ
NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.
Hahahahaha.. jamaniโฆ
Hahahahahaโฆ yani kwa raha ya supuโฆ nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu janaโฆ hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njooโฆ unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.
Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwaโฆ
Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongoโฆ. hahahahahahahahahaha.
Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhaziliโฆ
Wali maharage kama jeshi la j
Peter Otieno (Guest) on June 10, 2022
Napenda jinsi mnavyofikiria! ๐ค๐
Masika (Guest) on May 26, 2022
๐คฃ Sikutarajia hiyo!
David Sokoine (Guest) on April 25, 2022
Kweli mnajua kuchekesha watu! ๐คฃ๐
David Musyoka (Guest) on April 11, 2022
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! ๐
Abdullah (Guest) on April 10, 2022
Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! ๐
Ruth Wanjiku (Guest) on April 5, 2022
๐คฃ Ujuzi wa hali ya juu!
Andrew Mahiga (Guest) on March 30, 2022
Hii imenikumbusha enzi zile! ๐ ๐
Stephen Mushi (Guest) on March 14, 2022
๐๐คฃ๐๐
Joy Wacera (Guest) on March 3, 2022
๐๐๐
Victor Malima (Guest) on March 2, 2022
๐ Siwezi kuacha kucheka!
Grace Mushi (Guest) on February 16, 2022
Hii imenichekesha sana! ๐๐
Rose Waithera (Guest) on February 8, 2022
Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! ๐
Elijah Mutua (Guest) on January 18, 2022
๐๐คฃ
Neema (Guest) on November 22, 2021
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐
Grace Minja (Guest) on November 15, 2021
๐คฃ Sikutarajia hiyo!
Simon Kiprono (Guest) on November 14, 2021
๐ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
Charles Wafula (Guest) on October 11, 2021
Nimefurahia hii sana! ๐๐
Baraka (Guest) on October 10, 2021
๐ Nacheka hadi chini sasa hivi!
Lydia Mzindakaya (Guest) on October 4, 2021
Hii ni joke ya maana sana! ๐๐
Emily Chepngeno (Guest) on September 27, 2021
Huu ucheshi hauna kifani! ๐คฃ๐ฅ
Omar (Guest) on September 6, 2021
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! ๐
Victor Kimario (Guest) on August 26, 2021
๐๐๐ ๐คฃ
Sarah Achieng (Guest) on August 21, 2021
๐๐๐คฃ
John Mwangi (Guest) on August 10, 2021
๐๐
Margaret Mahiga (Guest) on July 19, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
Nancy Kawawa (Guest) on June 24, 2021
๐๐๐คฃ
Grace Mushi (Guest) on June 15, 2021
๐ Ninaihifadhi hii!
Mary Kidata (Guest) on May 21, 2021
Napenda jokes zenu! ๐๐
Esther Nyambura (Guest) on May 10, 2021
๐๐๐๐
Kazija (Guest) on April 26, 2021
๐คฃ Hii kichekesho ni nzuri sana!
Robert Ndunguru (Guest) on April 17, 2021
๐ Umenishika vizuri!
Jabir (Guest) on March 15, 2021
๐คฃ Hii imenigonga vizuri!
Joseph Kawawa (Guest) on March 5, 2021
๐ Hiyo punchline ilikuwa kali!
Elizabeth Mrema (Guest) on February 17, 2021
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ๐๐
Francis Njeru (Guest) on January 27, 2021
Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐
Rose Lowassa (Guest) on December 9, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐คฃ
Grace Minja (Guest) on December 2, 2020
Umetisha! ๐๐
Chris Okello (Guest) on November 8, 2020
Kama kawaida! Bado nacheka! ๐
Joyce Mussa (Guest) on October 28, 2020
๐ Hii ni hazina ya kichekesho!
Aziza (Guest) on October 20, 2020
๐ Nacheka hadi chini!
Lucy Mushi (Guest) on August 30, 2020
Kweli ni jokes za ukweli! ๐๐
Habiba (Guest) on August 19, 2020
Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! ๐
Lucy Mahiga (Guest) on August 11, 2020
๐คฃ๐ญ๐
Agnes Njeri (Guest) on July 30, 2020
Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! ๐๐
Mariam Kawawa (Guest) on June 26, 2020
Hizi jokes ni za kipekee sana! ๐๐
Stephen Amollo (Guest) on June 22, 2020
Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! ๐
Brian Karanja (Guest) on June 11, 2020
๐ Siwezi kusubiri kushiriki hii!
Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2020
๐๐
Philip Nyaga (Guest) on May 5, 2020
๐๐ ๐
Baraka (Guest) on April 14, 2020
๐ Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Jacob Kiplangat (Guest) on April 6, 2020
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐คฃ๐
Zakia (Guest) on April 3, 2020
๐ Naihifadhi hii!
Margaret Anyango (Guest) on March 19, 2020
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐คฃ
Mchuma (Guest) on March 15, 2020
Hii ni dhahabu ya vichekesho! ๐
Henry Sokoine (Guest) on February 1, 2020
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ๐๐
Edith Cherotich (Guest) on November 13, 2019
Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐คฃ๐ญ
Jafari (Guest) on November 12, 2019
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! ๐
Mercy Atieno (Guest) on November 6, 2019
Hii imenikuna! ๐๐
Fadhila (Guest) on October 23, 2019
๐คฃ Hii imewaka moto!
Kenneth Murithi (Guest) on October 13, 2019
Hii imenipa kicheko cha siku! ๐๐