Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Featured Image
Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!..
Wakapelekwa contractors watatu ili achaguliwe mmoja atakayejenga vzr na kwa bei nafuu!..
Wakwanza alikuwa MUHINDI, wa pili MCHINA na MBONGO!…

MUHINDI: "ntajenga kwa milioni 90!.., 40 za vifaa, 40 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MCHINA: "mi ntajenga kwa milioni 70!.., 30 za vifaa, 30 za mafundi na milioni 10 faida yangu"

MBONGO kuona vile akamvuta chemba msimamizi wa Magogoni!..
MBONGO: "mi ntajenga kwa milioni 270"

MSIMAMIZI WA MAGOGONI: "we una wazimu nn!.. yaani unathubutu kusema hivyo na unaona wenzako wametaja kiwango kidogo?!."

MBONGO: "milioni 100 zako, 100 zangu alafu hiyo milioni 70 tunaajiri yule mchina"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on December 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 1, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Margaret Mahiga (Guest) on November 8, 2021

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Victor Mwalimu (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 29, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Mwikali (Guest) on September 26, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mwanaidha (Guest) on September 21, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Raphael Okoth (Guest) on September 7, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on September 4, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Malima (Guest) on August 28, 2021

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on August 25, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Majaliwa (Guest) on August 14, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alice Wanjiru (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Betty Cheruiyot (Guest) on July 2, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on June 21, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on June 15, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Susan Wangari (Guest) on June 13, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on May 30, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on May 17, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 18, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on April 12, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Martin Otieno (Guest) on April 10, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Njeri (Guest) on April 4, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on March 29, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on March 20, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on March 9, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Stephen Malecela (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

James Malima (Guest) on February 9, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 1, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Peter Otieno (Guest) on January 3, 2021

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on December 26, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Khadija (Guest) on December 17, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Abdillah (Guest) on December 15, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mwajabu (Guest) on December 5, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on November 24, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on November 13, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Samson Tibaijuka (Guest) on October 22, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on October 14, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mwanais (Guest) on September 22, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on August 23, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Mahiga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mchome (Guest) on August 17, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Peter Otieno (Guest) on August 6, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 26, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on July 1, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on June 17, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Stephen Kikwete (Guest) on June 10, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 9, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Faith Kariuki (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 13, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Henry Sokoine (Guest) on April 28, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Monica Adhiambo (Guest) on April 21, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More