Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Featured Image
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we mtoto! Niondolee wehu wako hapa!"

Zuzu akatabasamu. Akaendelea kuongea kabla sijafanikiwa kumzuia. "Kweli kabisa anko. Vitu vinavyoanza na K ni vitamu sana kwa mfano kuku, kalimati, keki, kabab, katleti, kashata, kisheti na karoti."
Nikashusha pumzi. "Ahaa! Kumbe ndo hivyo, ni kweli!"

Zuzu akanitupia swali. "Kwani we anko ulidhani nini?"
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Fadhila (Guest) on December 6, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Daniel Obura (Guest) on November 24, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

David Sokoine (Guest) on October 19, 2021

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Hassan (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Akech (Guest) on October 1, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on September 10, 2021

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Malima (Guest) on July 18, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Mchome (Guest) on July 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on July 2, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Victor Kimario (Guest) on June 30, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ibrahim (Guest) on June 13, 2021

Asante Ackyshine

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on June 9, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Stephen Mushi (Guest) on June 7, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on June 4, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abubakari (Guest) on May 3, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on April 17, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Masika (Guest) on April 3, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Nyalandu (Guest) on April 2, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Mwachumu (Guest) on April 1, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Warda (Guest) on March 21, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Njeri (Guest) on March 16, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Andrew Mahiga (Guest) on March 14, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

David Nyerere (Guest) on March 12, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on March 8, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Makame (Guest) on February 2, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on January 4, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mary Kidata (Guest) on December 21, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Hassan (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Catherine Naliaka (Guest) on November 22, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mwanais (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Catherine Naliaka (Guest) on November 1, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Joseph Mallya (Guest) on October 25, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Tabu (Guest) on October 18, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Arifa (Guest) on October 8, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

John Malisa (Guest) on September 25, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on September 24, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 16, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on September 12, 2020

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

David Chacha (Guest) on August 29, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on August 29, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on August 27, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Zulekha (Guest) on May 12, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Brian Karanja (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on April 8, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on March 22, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on March 19, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on March 15, 2020

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

George Mallya (Guest) on March 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on March 12, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lydia Wanyama (Guest) on February 28, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mariam (Guest) on February 12, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mary Njeri (Guest) on January 31, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Benjamin Masanja (Guest) on January 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on January 30, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

David Kawawa (Guest) on January 17, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Elijah Mutua (Guest) on December 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on November 17, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Related Posts

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More