Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Monica Adhiambo (Guest) on December 8, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joseph Kawawa (Guest) on November 21, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Zawadi (Guest) on November 13, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Kenneth Murithi (Guest) on November 3, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Malisa (Guest) on October 6, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Khalifa (Guest) on September 14, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on September 7, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 19, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Jamila (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on July 26, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

George Wanjala (Guest) on July 6, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

James Malima (Guest) on June 1, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on May 8, 2021

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Khadija (Guest) on May 3, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

James Kawawa (Guest) on April 17, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Mwajabu (Guest) on April 14, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Mwanaidha (Guest) on March 23, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Hassan (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on March 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Athumani (Guest) on March 10, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Baraka (Guest) on January 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Edward Lowassa (Guest) on January 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kawawa (Guest) on December 21, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 15, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on November 30, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on November 18, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Rahma (Guest) on November 11, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Janet Mwikali (Guest) on November 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Josephine (Guest) on November 2, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Josephine Nduta (Guest) on October 19, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Tabitha Okumu (Guest) on October 10, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Hashim (Guest) on October 9, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jackson Makori (Guest) on August 14, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 5, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elijah Mutua (Guest) on July 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Agnes Sumaye (Guest) on July 2, 2020

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Isaac Kiptoo (Guest) on June 25, 2020

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

James Malima (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on May 17, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on April 23, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on April 7, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwafirika (Guest) on April 6, 2020

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Chum (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Rose Mwinuka (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Susan Wangari (Guest) on March 5, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Anna Malela (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

John Lissu (Guest) on February 21, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

John Mushi (Guest) on January 20, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Husna (Guest) on January 15, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Sharifa (Guest) on January 8, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nancy Akumu (Guest) on December 29, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 30, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on October 3, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Diana Mallya (Guest) on September 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 28, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Zawadi (Guest) on August 21, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ann Wambui (Guest) on August 1, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile halikosi watu kama hawa

Darasa lolote lile (hasa vyuoni) lazima liwe na wanafunzi wafuatao:
1. Mrembo wa darasa.
Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More