Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Malima (Guest) on July 14, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Nyambura (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Akech (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on May 18, 2022

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Fadhila (Guest) on May 14, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Violet Mumo (Guest) on May 9, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Rahma (Guest) on April 17, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samson Mahiga (Guest) on March 7, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on February 8, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on February 1, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on January 24, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Diana Mumbua (Guest) on January 1, 2022

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Nahida (Guest) on November 14, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Hellen Nduta (Guest) on October 30, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on September 13, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on August 1, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on July 22, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on June 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Andrew Mahiga (Guest) on June 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on June 23, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on June 22, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Jamila (Guest) on June 19, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

David Sokoine (Guest) on June 13, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on April 25, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Alice Mrema (Guest) on February 23, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Hekima (Guest) on February 21, 2021

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Hamida (Guest) on February 20, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanaisha (Guest) on February 13, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mushi (Guest) on January 4, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on January 3, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Alice Jebet (Guest) on December 16, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on November 21, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Achieng (Guest) on November 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faiza (Guest) on October 24, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Abdillah (Guest) on October 22, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Grace Mushi (Guest) on October 18, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on October 8, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chiku (Guest) on September 26, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

David Nyerere (Guest) on September 20, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Violet Mumo (Guest) on September 2, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Lydia Wanyama (Guest) on August 9, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Peter Mbise (Guest) on August 7, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Brian Karanja (Guest) on July 30, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Francis Mrope (Guest) on July 17, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Brian Karanja (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on June 16, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on May 10, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

James Mduma (Guest) on April 29, 2020

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 24, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Asha (Guest) on April 4, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rahim (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Lissu (Guest) on February 16, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Related Posts

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More
Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Hizi sifa zimezidi sasa

Hizi sifa zimezidi sasa

MADEM KWA SIFA..

kuumwa aumwe yeye lakn kujifanya anajali sana bas utam... Read More

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo