Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Mallya (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 6, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kiza (Guest) on October 20, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Mchome (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on August 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Mallya (Guest) on August 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mahiga (Guest) on August 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on August 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on July 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on June 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on May 29, 2021

Asante Ackyshine

Stephen Malecela (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Tabu (Guest) on May 22, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on May 14, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Makena (Guest) on April 22, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on April 4, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on February 17, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Yusuf (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on January 13, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Masika (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 21, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sultan (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Abdillah (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mahiga (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on November 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 28, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Saidi (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 2, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on August 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on April 3, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kawawa (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jamila (Guest) on March 13, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Chacha (Guest) on March 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on February 8, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mwangi (Guest) on January 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on December 24, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Amani (Guest) on December 21, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Angalia huyu ticha wa Hesabu alichofanyiwa

Looku Looku* πŸ‘€πŸ‘€

*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hii….!!*

... Read More
Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na si... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga... Read More