Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jackson Makori (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on October 5, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 23, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on September 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on September 4, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

George Mallya (Guest) on August 26, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 22, 2021

Asante Ackyshine

John Mwangi (Guest) on August 8, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mtaki (Guest) on August 4, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 27, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 25, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on May 13, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on April 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on February 28, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jabir (Guest) on December 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 19, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on December 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 7, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on November 4, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on October 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mohamed (Guest) on October 18, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on September 17, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Baridi (Guest) on September 10, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mahiga (Guest) on September 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 15, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Habiba (Guest) on July 1, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on March 26, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Christopher Oloo (Guest) on March 26, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharon Kibiru (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on February 3, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Aoko (Guest) on December 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More