Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Henry Sokoine (Guest) on April 8, 2021

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on March 13, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on March 3, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on February 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on February 14, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on February 11, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on January 25, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Elizabeth Mtei (Guest) on December 26, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Thomas Mtaki (Guest) on December 14, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on October 30, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on October 20, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on October 16, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on October 14, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Linda Karimi (Guest) on October 13, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 13, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Nancy Kabura (Guest) on August 19, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Salum (Guest) on July 30, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on July 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mashaka (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Malima (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on May 1, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Wanjiku (Guest) on April 22, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on March 30, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Simon Kiprono (Guest) on March 28, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on March 28, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Alice Jebet (Guest) on February 23, 2020

😊🀣πŸ”₯

Rose Amukowa (Guest) on February 2, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 22, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rukia (Guest) on January 12, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Irene Akoth (Guest) on December 22, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on December 5, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on November 19, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Philip Nyaga (Guest) on October 7, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elijah Mutua (Guest) on August 27, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Bahati (Guest) on August 19, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Francis Mtangi (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Nora Lowassa (Guest) on July 13, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Elijah Mutua (Guest) on July 5, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Kenneth Murithi (Guest) on July 4, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Henry Sokoine (Guest) on June 16, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Elizabeth Malima (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Henry Mollel (Guest) on May 17, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 12, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kawawa (Guest) on April 9, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on April 7, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on March 18, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Monica Adhiambo (Guest) on February 5, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on February 4, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Amir (Guest) on January 2, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on December 12, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More