Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Edith Cherotich (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on February 14, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edwin Ndambuki (Guest) on January 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Leila (Guest) on November 30, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on November 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Tenga (Guest) on October 30, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on October 25, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 19, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Monica Nyalandu (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on July 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Linda Karimi (Guest) on June 11, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on May 19, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on April 21, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jackson Makori (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 5, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 8, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on December 1, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kimani (Guest) on December 1, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on October 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on September 6, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mutheu (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jafari (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 7, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on June 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on April 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabu (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on March 29, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 27, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Hashim (Guest) on March 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Omar (Guest) on December 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Hellen Nduta (Guest) on December 11, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on November 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Kamande (Guest) on November 15, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on November 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Wambura (Guest) on October 4, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Related Posts

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More