Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Featured Image

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye?.
MKE: Salama tu
MUME: Uko wapi?
MKE: Jamani si niko nyumbani
MUME: Mhh kama kweli uko nyumbani washa blender nisikie…..mkeΒ­ akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Okay haya mi natoka kazini naja

Siku ya pili
MUME: Vipi mko salama huko?
MKE: Tupo kama ulivyotuacha
MUME: kwani uko wapi?
MKE: Niko nyumbani napika
MUME: Washa brender kama kweli uko nyumbani
Mke akawasha blender
MKE: Umesikia?
MUME: Poa ntarudi baada ya masaa mawili

Siku sita baadaeΒ mume akaamua kurudi bila kumtaarifu mkewe alipofika home kamkuta mdada wa kazi yuko peke yake.
MUME: We mama yako yuko wapi?
MDADA: Sijui ameondoka na blender toka asubuhi

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Cheruiyot (Guest) on November 9, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Rahim (Guest) on October 7, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issack (Guest) on October 3, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Mushi (Guest) on September 24, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on September 16, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Ramadhan (Guest) on September 1, 2021

Asante Ackyshine

Monica Adhiambo (Guest) on July 5, 2021

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nahida (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Anna Malela (Guest) on June 24, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on June 5, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on May 28, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on May 19, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on May 14, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Ibrahim (Guest) on May 12, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Abdillah (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Betty Kimaro (Guest) on April 14, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on April 9, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on April 2, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Lucy Wangui (Guest) on March 12, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 9, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on March 7, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on December 17, 2020

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on December 13, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Nora Kidata (Guest) on December 10, 2020

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Charles Wafula (Guest) on December 4, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Rukia (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Lucy Wangui (Guest) on November 10, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on November 1, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Brian Karanja (Guest) on October 15, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Nancy Kawawa (Guest) on October 14, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on September 22, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on September 13, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on August 19, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Thomas Mtaki (Guest) on August 15, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on August 12, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on August 5, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on July 19, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Makame (Guest) on July 8, 2020

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Faith Kariuki (Guest) on July 6, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Binti (Guest) on July 3, 2020

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Aziza (Guest) on June 30, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Michael Onyango (Guest) on June 25, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Charles Mchome (Guest) on May 23, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mariam Kawawa (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mary Kidata (Guest) on April 19, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Khatib (Guest) on March 28, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on February 6, 2020

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on December 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Salma (Guest) on December 10, 2019

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on November 21, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Mushi (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Mbise (Guest) on November 11, 2019

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dog... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Cheki masifa yalivyomponza huyu, Sifa nyingine ni mbaya jamani

Mbongo, Mganda, na Mkenya walikamatwa na makosa Uchina. Wakaambiwa adhabu ni ama kifo cha moja kwa ... Read More
Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Huyu Jamaa kawaweza polisi kweli

Et jamaa kawekwa jela kwa kosa la kupoteza mamiilion.ya kampun akiwa gerezan babayake alituma bar... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Watu wana vimaneno

Watu wana vimaneno

Eti linalo jamba ni tumbo makalio ni spika tu

Dah!!

Nimecheka h... Read More