Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Featured Image

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima awe golikipa
3.Mwenye mpira ataamua nan acheze na nan asicheze





4.kama haujashiriki kufuma mpira unaweza ucpate namba
5.Ukichaguliwa mwishon ujue uwezo wako ni mdogo kuliko wote
6.Mwenye mpira akikaclika mpira umeisha
7.Inaruhusiwa kubadili golikipa kama ikitokea penat na baada ya apo ataendelea kudaka yule yule
8.Mechi itaisha pale giza linapoingia
9.wale ambao wamekosa namba kazi yao ni kufata mpira ukitoka
10.yule mtaalam wa soka {KM MIMI } huwa hakoc namba ata cku moja!
Ukiikumbuka lazima utabasam!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

James Kawawa (Guest) on July 2, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

John Mwangi (Guest) on June 28, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jackson Makori (Guest) on June 14, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Nyota (Guest) on June 8, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Patrick Kidata (Guest) on May 28, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Leila (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mariam (Guest) on May 4, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on March 31, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khalifa (Guest) on March 1, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on January 28, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Nassor (Guest) on January 17, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on January 17, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rahma (Guest) on December 8, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Lucy Mahiga (Guest) on December 5, 2021

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Muslima (Guest) on November 25, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on November 24, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on November 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Tenga (Guest) on October 31, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Ruth Kibona (Guest) on October 19, 2021

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Hawa (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Mallya (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on September 19, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Edith Cherotich (Guest) on September 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mahiga (Guest) on September 12, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Hekima (Guest) on August 25, 2021

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Umi (Guest) on August 23, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 7, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on August 6, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on June 20, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Nyota (Guest) on June 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Tabu (Guest) on May 18, 2021

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Miriam Mchome (Guest) on May 16, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Zakaria (Guest) on May 2, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline!

Jane Muthoni (Guest) on April 26, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Anna Malela (Guest) on April 25, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 18, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on March 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarafina (Guest) on March 14, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on March 1, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 25, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rose Mwinuka (Guest) on January 19, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Anna Sumari (Guest) on January 17, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on January 16, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Athumani (Guest) on January 6, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on January 5, 2021

Asante Ackyshine

Janet Wambura (Guest) on December 25, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on October 6, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on September 27, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faith Kariuki (Guest) on September 23, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on August 28, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on August 1, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

David Musyoka (Guest) on July 8, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Mwinyi (Guest) on June 26, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Zainab (Guest) on May 30, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Rahma (Guest) on May 22, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kapresha kakiamua kuja kanakujaga tuu, cheki kilichompata huyu mme wa mtu mpenda michepuko

Kimchepuko chako kinakuandikia meseji kama hii…

…Samahani baby kama unavyojua nimeokoka... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More