Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Featured Image

Binti: Hallow mpenzi, Mambo





Jamaa: Poa baby





Binti:Uko wapi?





Jamaa: Niko town napata lunch





Binti: Wow unarudi saa ngap? Nina njaa dear naomba uniletee msosi





Jamaa: Narudi baada ya nusu saa nikuletee nini?





Binti: Niletee chipsi kuku, soseji, mayai manne ya kukaangwa pembeni, baga, piza, coke take away baridi, mkate wa moto kwenye ile bekari ya wapemba na maji ya kunywa ya kiimanjaro.





Jamaa:Umesahau viti, meza, masufuria, sahani na beseni na vijiko.





Binti: Kwanini dear?





Jamaa: Naona hutaki kula unataka kufungua hoteli!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Zakaria (Guest) on April 4, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edith Cherotich (Guest) on March 24, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwalimu (Guest) on March 9, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 14, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Mallya (Guest) on January 10, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mary Mrope (Guest) on January 3, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on December 27, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on December 6, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Fredrick Mutiso (Guest) on November 9, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Thomas Mwakalindile (Guest) on October 4, 2021

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Mary Kidata (Guest) on July 12, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on July 8, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rabia (Guest) on May 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Kimotho (Guest) on May 24, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Irene Makena (Guest) on May 18, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Salma (Guest) on May 14, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Leila (Guest) on April 27, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Ann Wambui (Guest) on March 25, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on March 22, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on March 5, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Janet Mbithe (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mzee (Guest) on February 6, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Mchome (Guest) on February 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on January 22, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on January 4, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ndoto (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Amani (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Amani (Guest) on October 28, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Sarah Karani (Guest) on October 26, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Charles Wafula (Guest) on October 3, 2020

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Irene Makena (Guest) on September 16, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Amir (Guest) on September 6, 2020

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on August 25, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Moses Mwita (Guest) on August 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on August 11, 2020

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Chacha (Guest) on July 30, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on July 19, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on July 15, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Josephine (Guest) on June 18, 2020

Asante Ackyshine

Thomas Mtaki (Guest) on June 15, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Sokoine (Guest) on June 13, 2020

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 25, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Minja (Guest) on May 9, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on May 7, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Asha (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Wande (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Lucy Mahiga (Guest) on April 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Latifa (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Anna Mchome (Guest) on April 9, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Monica Lissu (Guest) on April 5, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rose Kiwanga (Guest) on March 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mallya (Guest) on March 10, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sekela (Guest) on March 1, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on February 27, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Shabani (Guest) on February 17, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Related Posts

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Ungekua wewe ndio mama wa huyu mtoto ungemfanyaje?

Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More